Dawa inapenya mtulie: Mara Hamuwezi kumsajili Aziz Ki, mara zile picha ni feki. Sasa hivi Mnasema oooh mmemsajili kwa Pesa nyingi

Uto vipi tena mbona mna makasiriko sana?

Kutokwenda kwenu kuweka kambi uturuki kwasababu ya huyo dogo hakutaka "mafungu" msitununie sisi.
 
Yaani umsajili aziz ki kwa mihela yote halafu kimataifa mnacheza mechi mbili mnarudi kucheza na nambungo hayo ni matumizi mabaya ya funguo na hela.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah mbna mmeanza kuteseka mapemaaa.
Vipi Funguo imeharibu kufuli??

Byuti byuti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…