Dawa inayodaiwa kutibu UKIMWI yagundulika nchini Israel

Dawa inayodaiwa kutibu UKIMWI yagundulika nchini Israel

Status
Not open for further replies.
Wewe julize swali kwa nini nchi zenye waislamu wengi,maambukizi ni 0.1,nchi za mashariki ya kati(ikiwemo Israel,na wakristo waarabu,je ingekuwa ni waislamu watupu ingekuwa ni chini ya hapo)pamoja na Afrika ya Kaskazini yenye waislamu wengi(na wachache wasio waislamu).
Maambukizi ni 0.1%,wakati Afrika kusini ya jangwa la Sahara yenye idadi kubwa ya wasio waislamu,maambukizi 5%.?
samahani mkuu unaweza kunipa link ya sehemu ulipozitoa hizo data zako ili nijiridhishe na mimi

kama hutajali lakini.
 
Kama wanaruhusiwa kula nguruwe ili wasife, sidhani kama watakatazwa kutumia dawa ya waisraeli ili wasife pia. Wachague wenyewe, kifo au tiba.
hata ukinywa wewe kafiri mwenzao cku yako ikifika utakufa tu, nilifikir hyo dawa ni ushauri kuzuia kufa
 
Inakusaidia nini wewe kama Mtanzania ? Au unafikiri wale ni wakatoliki?


Wasio aminikua Israel nitaifa teule na wasitumie coz huwez tumia kitucha kafiri hahahaaaa,nawanao amini Israeli n TAIFA la kizayuni wasitumie hahaaaa ,nawasio amin kua nitaifa teule hahaaa.
 
Nadhani wamekosea kusema wayahudi/Israel ndiyo wamegundua, ilipaswa waseme kuwa Marekani au nchi nyingine ndiyo wamegundua ili kutoa fursa kwa waathirika wa dini nyingine kuweza kutumia hiyo dawa.
Sasa kwa kutangaza hivyo wengine hawatatumia kwa kuwa bidhaa za nchi hiyo zimesusiwa na dini Fulani pia ni maadui wakuu
Unajua man katika swala la afya hakuna dini wala itikadi. Its simple ... hutaki dawa iliyotengenezwa israeli... badi uendelee kumeza ARV mpaka siku ya kufa kwako.
Masuala sijui upande wa pili utaonaje.. hiyo si vizuri. na je... dini au tofauto kati ya jamii fulani ni muhim kuliko uhai?
Formula ni rais.. Do or Die....
 
Wewe julize swali kwa nini nchi zenye waislamu wengi,maambukizi ni 0.1,nchi za mashariki ya kati(ikiwemo Israel,na wakristo waarabu,je ingekuwa ni waislamu watupu ingekuwa ni chini ya hapo)pamoja na Afrika ya Kaskazini yenye waislamu wengi(na wachache wasio waislamu).
Maambukizi ni 0.1%,wakati Afrika kusini ya jangwa la Sahara yenye idadi kubwa ya wasio waislamu,maambukizi 5%.?
Watakan kata....kaka yake na khadija tako bovu.

Umeulizwa swali unaleta maelezo kama hotuba

Ni dini gani inayoruhusu uzinifu?
 
HIV bwana inahitaji ujasiri kutoa neon kuwa mimi ni mwathirika, watu wako nyuma ya keyboard lakini kila mtu anasema mtu flani alipat.
 
samahani mkuu unaweza kunipa link ya sehemu ulipozitoa hizo data zako ili nijiridhishe na mimi

kama hutajali lakini.
Hakuna link zaidi ya ukweli kuwa ukimwi unaambukizwa zaidi kwa njia ya kum'fira mwanamke au mwanaume kuliko kumfanya mwanamke katika njia ya kawaida

Sasa jamii ya wanaofanyia wake zao hivyo ili kutunza bikira ya mbele ndiyo inayoleta nyenyenyee nyingi.

Btw, umeomba uletewe data, namimi ninaisubiri kwa hamu na iwe imefanyiwa research na mtaalam isiwe imetoka kwenye kichwa cha sheikh mmoja au wawili wa magomeni ama tandale.
 
Watakan kata....kaka yake na khadija tako bovu.

Umeulizwa swali unaleta maelezo kama hotuba

Ni dini gani inayoruhusu uzinifu?
Wewe utakuwa sio mzima,unaniuliza kuhusu dini nyingine habari zao,waulize wenye hizo dini.Mimi hapa nimekuletea habari za uislamu,kwa vile mimi ni muislamu.Wa dini nyingine waulize Wenye dini hizo.
 
Hakuna link zaidi ya ukweli kuwa ukimwi unaambukizwa zaidi kwa njia ya kum'**** mwanamke au mwanaume kuliko kumfanya mwanamke katika njia ya kawaida

Sasa jamii ya wanaofanyia wake zao hivyo ili kutunza bikira ya mbele ndiyo inayoleta nyenyenyee nyingi.

Btw, umeomba uletewe data, namimi ninaisubiri kwa hamu na iwe imefanyiwa research na mtaalam isiwe imetoka kwenye kichwa cha sheikh mmoja au wawili wa magomeni ama tandale.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu unanifurahisha kinoma,

Yeah mimi nimeonba data kuhusu anachokisema au basi atoe hata link sisi tukasomw wenyewe hizo data.

Kama ni maneno ya midomoni kila mtu anaweza kusema yake.

Kwahiyo nikisema SAUDI ARABIA kuna waathirika wengi kuliko ROME bila kukuletea visibitisho na data mwisho utaniona mzushi tu.

Baba azarel mwambie atupe data mimi sitaki tena kubishana nae.
 
Unajua man katika swala la afya hakuna dini wala itikadi. Its simple ... hutaki dawa iliyotengenezwa israeli... badi uendelee kumeza ARV mpaka siku ya kufa kwako.
Masuala sijui upande wa pili utaonaje.. hiyo si vizuri. na je... dini au tofauto kati ya jamii fulani ni muhim kuliko uhai?
Formula ni rais.. Do or Die....
Hao wa dini inayosemwa,katika habari hiyo ya dawa ya UKIMWI,maeneo yao ya mashariki ya kati na kaskazini ya Afrika,ambao ndio wako wengi,maamnukizi ni 0.1%.Maambukizi yao ni madogo sana,ukilinganisha na maeneo yenye dini nyingine ni 5% ya Afrika,kusini ya jangwa la sahara.Kwa hiyo kwao si tatizo kubwa.Na katika hiyo 0.1%,huwenda ikawa ni wa dini isio yao kwa asilimia kubwa,kwa sababu maeneo hayo wapo wa dini nyingine,kwa idadi ndogo sana.
 
Wagundue na chanjo ya kutougua kisukari au kansa kama ilivyo chanjo ya magonjwa mengine utotoni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom