Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeme ga i tena....wee anayepumua anatosha. Hamna haja ya mashineAu ili mradi awe tu na Mashine ya kuzalishia umeme 😜
utakuwa bado ni slay queen.Hadi nipate baba anayejielewa
Hicho Ndiyo Kiswahili Sanifu Chenye TafsidaUngo unavunjwa?
Kongole ushauri mzuri.Pole mamy, achana na painkillers zitakuletea matatizo makubwa hapo baadae, kama ni maumivu ambayo hayaathiri shughuli zako za kila siku basi fanya mambo haya,
1. Kama sio mtu wa mazoezi anza kufanya mazoezi mepesi 5 days before your period starts, long walk/run, squats, plank, n.k, mazoezi yanasaidia sana kupunguza maumivu ya MP,
2. Chemsha chai ya mdalasini, karafuu na hiliki weka na asali, anza kunywa chai hiyo 2 days before a period starts na endelea nayo hadi kipindi cha period
3. Mwambie mtu aku massage pole pole maeneo unayohisi maumivu
4. Ukizaa yanaisha ila sikushauri uzae bila plans
NB: maumivu yakiwa makubwa sana kiasi cha kuathiri shughuli zako kamuone Gynecologist ASAP.
Ewaaa,ukipata ufumbuzi wa hili swala utaenda kutupa uthibitisho wa picha kabisa #Jamii photo hukonataka niweke na Evidence kabisa 😅
Asante sana dear kwa ushauri mzuri. Ngoja nifanye hivo halafu nilete mrejeshoPole mamy, achana na painkillers zitakuletea matatizo makubwa hapo baadae, kama ni maumivu ambayo hayaathiri shughuli zako za kila siku basi fanya mambo haya,
1. Kama sio mtu wa mazoezi anza kufanya mazoezi mepesi 5 days before your period starts, long walk/run, squats, plank, n.k, mazoezi yanasaidia sana kupunguza maumivu ya MP,
2. Chemsha chai ya mdalasini, karafuu na hiliki weka na asali, anza kunywa chai hiyo 2 days before a period starts na endelea nayo hadi kipindi cha period
3. Mwambie mtu aku massage pole pole maeneo unayohisi maumivu
4. Ukizaa yanaisha ila sikushauri uzae bila plans
NB: maumivu yakiwa makubwa sana kiasi cha kuathiri shughuli zako kamuone Gynecologist ASAP.
Fanya mpango umpate mdoli wa kukusumbua na kufariji utaachana na nyuzi za ungo.Doctor G Mama nani tena jamani
Mr kibamiaDoctor G Mama nani tena jamani 😅
bila mashine atakua ni nani tena huyo 😅😅
Tunashindwa kuwagegeda nawakat valentine inakaribiaPole Jamani
inahitaji ujasiri flani, ila inafanya kazi!Mungu wangu 🙆🏻♀️. Sawa kaka
na mimiTatizo na nani sasa? 😅
Fanya mazoezi litaacha lenyewe kuuma.wanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.
Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?