Dawa ipi inafaa kwa Tumbo la Period?

Dawa ipi inafaa kwa Tumbo la Period?

wanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.

Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?
Kuna dawa Inaitwa ACEFEN inapatikana pharmacy, hii komesha ya tumbo la period.

Muhimu pia kuzingatia kutumia vyakula vyenye madini ya Magnesium na Calcium kama Maziwa
 
wanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.

Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?
Pole sana itakuwa unahitaji period care package 😌
1000022298.jpg
 
Samahan lakin ila kiukwel huwa nachukia sana wanawake ambao huwa wanaugua mpaka kushindwa kufanya kaz kwasababu ya period
 
Halaf hiz cku mbil tangu juz wadada wote simba anacheza asee tabu tupu
 
wanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.

Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?
kunywa mkojo wako angalau nusu glass, angalau mara tatu kwa siku. Utakuja nishukuru.

urotherapy ni reality
 
Back
Top Bottom