The Conscious
JF-Expert Member
- Mar 18, 2021
- 740
- 1,218
Changanya na unga kwasababu hauozi, weka kwenye kona zao hata wiki mbili.. funika chakula na maji. Ni salama kwa binadamu kulinganisha nu sumu.Hii unaitumiaje mkuu
fuga pakaWakuu msaada nimemaliza dawa ila panya hawapungui
Kuna kiboko nyingine
sinafuga paka
tafutasina
wap paka hamna au zipo sehemu wanauzatafuta
ππππ pamoja na Wamakua wa MasasiKiboko ya Panya ni Wamakondee!
ULIZA SWALI LENGINE.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
paka wapo,ukiulizia unapoishi hapo mtaani utapata,ukiweka sumu itasaidia kwa muda mfupi, baadae wanarudi tena!!wap paka hamna au zipo sehemu wanauza