Dawa ya chuki ya wala vumbi ni Nyani Ngabu

Sasa mbona uliacha vyuo vyenu ukaenda Ulaya? Kwa nini hukwenda Teku au Teofili Kisanji? Kwa roho yako mbaya, hukutoa hela mfukoni, vinginevyo itakuwa ndio wale ambao baba zao wameibia sana hii nchi.
 
Wacha wee...

Habu nfanzie mpango nije nitakase macho hata kwa nusu siku asee..
 
Wewe ni mmoja ya wabeba box ambao mko humble sana na hamnaga matatizo na mtu.. Keep it up
 
Watanzania wengine akili imejaa vumbi tu baada ya kujadili vitu vya maendeleo mnabishana na diaspora hamjui mchango wao kuna jamaa yangu kila week anatuma pesa nyumbani na yeye anajinyima wakati huohuo jamaa zake home wanatanua ile mbaya na dharau nyingi. Nilimshauri jamaa acha kutuma pesa nyumbani fanya mambo yako utakufa maskini kusaidia wala vumbi.
 
Acha ushamba.tatizo mnajiona bora uko mlipo.utafikiri mpo peponi.kutuita wala vumbi.mnaanzisha bifu zisizo na maana.
mkuu hii comment yako na avatar yako hapo amn tofaut umecomment unalia kabsaaa hahahaha
 
Tatizo hawajui kujenga scene kichwani(fikrani)pindi wanasoma post zako,mbona zinaonesha binti mrembo tena mweupe wa haja [emoji125]
 
"Mwafrikaaaaaaaaa...!
Basi kumbe mi si nyani, Kama walivyosema hapo zamani!"

Msanii: Watengwa (Kijenge juu)
Wimbo: sio nyani
 
ila nakupenda sana.una adabu sana wewe kaka .basi tu maisha napenda mwanaume mnyenyekevu kama wewe!
ipo siku tu

Naona umefunguka khasa umetoa dukuduku lako la moyoni.

Safi sana hiyo.

Mkuu Copenhagen umesikia?
 
Asilimia kufa ya watanzania wanaokwenda abroad maisha yamewapiga bongo.wakaamua kukimbia.hata nauli Mara nyingi uwa mmeiba.na mkifika huko shida tupu.kama mngekuwa na maisha mazuri,kazi nzuri na nyumba bongo msingekimbia.

Mkuu, unazungumza kiujumla tu au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…