Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Salama salmini hofu ni kwako tuKweli itakua ni kupishana
ni kheri upo salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salama salmini hofu ni kwako tuKweli itakua ni kupishana
ni kheri upo salama
Hii umeishtukia,najaribu nyingineahahaaaa hakuna kitu
ni kheri hakuna walakini mpendwaSalama salmini hofu ni kwako tu
Mwanzo nilikuwa najiuliza wala vumbi ni kina nani, but nw i knw....Sasa sio mla vumbi?
Utamuweza huyo,huoni anavyowachachafya wala vumbi?[emoji3]Eeh nataka nimfungie huyu Ngabu
Kwa msaada wa kisura nitamuweza tuUtamuweza huyo,huoni anavyowachachafya wala vumbi?[emoji3]
Mhhh,haya bana msalimie[emoji3] na yule mwingine!Kwa msaada wa kisura nitamuweza tu
Yule bonge?Mhhh,haya bana msalimie[emoji3] na yule mwingine!
Kisura kiboko yangu!Kwa msaada wa kisura nitamuweza tu
Hamna Kiranga mtata!![emoji3] [emoji3]Yule bonge?
jamaa hawajawahi kukanyaga home toooo much stress that why?1. Wewe ni muongo na mzushi mkubwa. Mimi siyo Simplicity. Na huna ushahidi wowote ule kwa sababu mimi siyo huyo jamaa.
2. Nilichodanganya mimi ni nini hadi uniite muongo?
3. Mimi nitafute umaarufu humu? Kwa taarifa yako sina haja yoyote ile ya kutafuta umaarufu humu. Mimi tayari ni maarufu.
*Tatizo lenu wengi wenu nadhani huwa nawapa kiwewe sana hadi mnaishia kuona maruerue na kuanza kujihisi na kuhisi watu kimakosa. Wengine hata nikiwa nachangia mada huwa wanadhani nawazungumzia wao wakati hata habari nao sina. Wengine ndo kama wewe sasa. Umejiaminisha kuwa mi ndo Simplicity wakati mimi na huyo bwana ni watu wawili tofauti kabisa. Simjui hanijui. Mara mdai mimi ni Richard Mugizi, mara mdai mimi ni Ndjabu da Dude, mara mdai mimi ndo Simplicity...seriously?*
Valentina njoo uone muona maruerue mwingine huyu!
Na ndo huyo atanisaidia kukukalisha chini.Kisura kiboko yangu!
Kajaa teleKwani bonge kaja likizo?
Namwambia John....[emoji3]Kajaa tele
Msalimie mwambie yale mambo yangu yale[emoji39] [emoji39]Kajaa tele
Usimwambie takupa zawadiNamwambia John....[emoji3]
Wewe tu na hela zako,utang'oa kitu hichoMsalimie mwambie yale mambo yangu yale[emoji39] [emoji39]
[emoji243] [emoji243] [emoji243] [emoji243]
Hizi ni habari njema sana ngoja nikalale na kulala!Wewe tu na hela zako,utang'oa kitu hicho
Wahi kabla hajawahiwaHizi ni habari njema sana ngoja nikalale na kulala!
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]