Dawa ya hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke....

Dawa ya hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke....

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Habari
Na gfriend wangu tumetokea kupendana sana kusex sanaaa

Baadae akafanikiwa pata mtoto

Sasa n mwaka wa 3

Ila ile hamu ya tendoo la ndoaa sijui kaenda nayo mtoto ama lah

Mkikutanaaaa yaaan inaweza chukua dk 15 kumchezea weee ndio unaona hamu inamuingia

Kama kuna dawa ya hamu ya tendo la ndoa pls tujuzane

Ahsanten
 
IMG-20240724-WA0116.jpg
 
Habari
Na gfriend wangu tumetokea kupendana sana kusex sanaaa

Baadae akafanikiwa pata mtoto

Sasa n mwaka wa 3

Ila ile hamu ya tendoo la ndoaa sijui kaenda nayo mtoto ama lah

Mkikutanaaaa yaaan inaweza chukua dk 15 kumchezea weee ndio unaona hamu inamuingia

Kama kuna dawa ya hamu ya tendo la ndoa pls tujuzane

Ahsanten
dawa ipo inafanya kazi kwa mwanamke na kwa mwanaume pia. Ni vizuri mkaitumia pamoja ili kubalance mizan maana akitumia peke yake may be atakuwa na ashiki zaidi yako. Ni mizizi unatafuna pamoja na karanga. Kama unaihitaji kweli nicheki in box.
 
dawa ipo inafanya kazi kwa mwanamke na kwa mwanaume pia. Ni vizuri mkaitumia pamoja ili kubalance mizan maana akitumia peke yake may be atakuwa na ashiki zaidi yako. Ni mizizi unatafuna pamoja na karanga. Kama unaihitaji kweli nicheki in box.
Inbox ya nn mkuu uweke hapa si ningekuja nbox
 
Back
Top Bottom