Dawa ya huu ugonjwa msaada

Dawa ya huu ugonjwa msaada

Mkuu.....
Nyimkisha mtibu, minamalizia kwa kumfanyia maombi....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Hapana kama maombi yenywe
N yale mnaitana chumbaa
Maalumu cha kuombea
Hatukubali kabisa[emoji18] [emoji18] [emoji18]

Cc wenywe tutaenda kumuombea
Kanisan kwetu
 
Damu imechafuka apo...au una minyoo au,..allergic reactions au ugonjwa wa ngozi,...au Cancer au tatizo kweny figo,au kisukari,...kwa iyo unahisi aya matatizo nani atakwambie jibu,....!?
 
Jaribu kumtafuta Dr . Mwaka mkuu sijui yuko wapi siku izi?
 
Hapana kama maombi yenywe
N yale mnaitana chumbaa
Maalumu cha kuombea
Hatukubali kabisa[emoji18] [emoji18] [emoji18]

Cc wenywe tutaenda kumuombea
Kanisan kwetu
Naomba nipafaham kanisani kwenu aiseeeeee......[emoji12] [emoji12]
Maana nahisi kuna fursa nyingi za wanao hitaji maombi, hasa kutoka kwangu......[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Damu chafu.. Halafu naona kuna black spots ina maana pia kwa ndani kuna infections.. Kamuone daktari hapa huwez pewa dawa..
 
Naomba nipafaham kanisani kwenu aiseeeeee......[emoji12] [emoji12]
Maana nahisi kuna fursa nyingi za wanao hitaji maombi, hasa kutoka kwangu......[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Hapana kanisan kwetu n
Maalumu kwa akina

Aika,pendo,Stella, pekeake
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
 
Hiyo ni Fungus wa ngozi wewe tafuta Antifungal
 
Mkuu....
Hata kama mimi ni hatari, lakini ni salama....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Bila shaka umenielewa
Mzee bila kukuona ww na Gudume huwa nahc kama Jf bado haijakamilika,Mungu awapeni uzma na afya njema milele
 
Back
Top Bottom