Dawa ya kuacha punyeto hii hapa

Dawa ya kuacha punyeto hii hapa

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Dawa ya kuacha punyeto hii hapa

Nenda kwenye duka za asili nunua unga wa kibiriti upelele changanya na mafuta ya mizeituni, nunua chumvi ya mawe walau nusu.

Weka chumvi ya mawe kwenye maji usiku jitahidi usiogee bafuni, jitamwagie hayo maji yaenee mwilini pote...ukimaliza jifute Na taulo safi , nikisema taulo safi nadhani mnaelewa

Jipake mchanganyiko huo mwili mzima ( mzeituni Na kibiriti upele) endelea kwa siku 14.

Usipopona nenda daktari wa mgonjwa ya akili zaidi atakupa msaada zaidi...
 
Dawa ya kuacha punyeto hii hapa .....nenda kwenye duka za asili nunua unga wa kibiriti upelele changanya Na mafuta ya mizeituni, nunua chumvi ya mawe walau nusu..weka chumvi ya mawe kwenye maji usiku jitahidi usiogee bafuni, jitamwagie hayo maji yaenee mwilini pote...ukimaliza jifute Na taulo Safi , nikisema taulo Safi nadhani mnaelewa ..jipake mchanganyiko huo mwili mzima ( mzeituni Na kibiriti upele) endelea kwa siku 14.....usipopona nenda daktari wa mgonjwa ya akili zaidi atakupa msaada zaidi...
Nyeto ni suala la saikolojia zaidi mtu yoyote akiwezq ku manage hilo basi ataweza kudhibiti hali hiyo
 
Dawa ya kuacha punyeto hii hapa

Nenda kwenye duka za asili nunua unga wa kibiriti upelele changanya na mafuta ya mizeituni, nunua chumvi ya mawe walau nusu.

Weka chumvi ya mawe kwenye maji usiku jitahidi usiogee bafuni, jitamwagie hayo maji yaenee mwilini pote...ukimaliza jifute Na taulo safi , nikisema taulo safi nadhani mnaelewa

Jipake mchanganyiko huo mwili mzima ( mzeituni Na kibiriti upele) endelea kwa siku 14.

Usipopona nenda daktari wa mgonjwa ya akili zaidi atakupa msaada zaidi...
Dawa ya kuacha "bakari nondo" ni kutafuta demu wa kuondoa upwiru.
 
Kuacha punyeto ni kuoa tu.
Mambo mengine ni kujiendekeza. Uraibu tu.
Ukikosa self awareness and self control utaendeshwa na kuwa mtumwa hapa duniani..

Wanawake walivyo jaa hivi unapigaje punyeto? Udomo zege au nini?

Hili nalo hadi tuanze kuogea chumvi, hapana aisee!!! Ni matumizi mabaya ya chumvi
 
Dawa ya kuacha punyeto hii hapa

Nenda kwenye duka za asili nunua unga wa kibiriti upelele changanya na mafuta ya mizeituni, nunua chumvi ya mawe walau nusu.

Weka chumvi ya mawe kwenye maji usiku jitahidi usiogee bafuni, jitamwagie hayo maji yaenee mwilini pote...ukimaliza jifute Na taulo safi , nikisema taulo safi nadhani mnaelewa

Jipake mchanganyiko huo mwili mzima ( mzeituni Na kibiriti upele) endelea kwa siku 14.

Usipopona nenda daktari wa mgonjwa ya akili zaidi atakupa msaada zaidi...
Ni swala linalo hitaji sana matibabu ya akili (psychology) kuliko tiiba physical
Dawa za asili hua na nguvu nyingi (strong sana) hivyo huweza kusababisha athari mwilini kama usugu wa dawa/ drug resistance

Mtu aliezoea kutibiwa UTI kwa mitishamba siku akameza za kitaalam huenda zikagoma kufanya kazi kwa sababu y ( strong dose)
 
Dawa ya kuacha punyeto hii hapa

Nenda kwenye duka za asili nunua unga wa kibiriti upelele changanya na mafuta ya mizeituni, nunua chumvi ya mawe walau nusu.

Weka chumvi ya mawe kwenye maji usiku jitahidi usiogee bafuni, jitamwagie hayo maji yaenee mwilini pote...ukimaliza jifute Na taulo safi , nikisema taulo safi nadhani mnaelewa

Jipake mchanganyiko huo mwili mzima ( mzeituni Na kibiriti upele) endelea kwa siku 14.

Usipopona nenda daktari wa mgonjwa ya akili zaidi atakupa msaada zaidi...
Nyeto hurudisha akili yangu ktk hali ya msawazo
 
Nyeto hurudisha akili yangu ktk hali ya msawazo
Jikite utafute mwanamke wa kua nae hata kama atakuwa mbovu wa sura Na umbo wewe shughulikia kile kilichoko katikati ya mapaja, zinaa Na nyeto ni vitu viwili tofauti
 
Inaathari kisaikolojia, inapunguza bahati za kiroho (chakra) piga punyeto usiku kucha huku ukiangalia pornography za Ebony mystique Na Byron long, asubuhi nenda kaombe kazi, ukiipata hiyo kazi Basi bosi atakuwa ni baba yako
Punyeto inaathiri vipi saikolojoa?
Kuna watu wengi tu wanashinda wanasali usiku mzima wa kuamkia kuomba kazi na wanakosa kazi.
 
Kuacha punyeto ni kuoa tu.
Mambo mengine ni kujiendekeza. Uraibu tu.
Ukikosa self awareness and self control utaendeshwa na kuwa mtumwa hapa duniani..

Wanawake walivyo jaa hivi unapigaje punyeto? Udomo zege au nini?

Hili nalo hadi tuanze kuogea chumvi, hapana aisee!!! Ni matumizi mabaya ya chumvi
Punyeto ni salama zaidi kuliko kufanya mapenzi, pia punyeto ni kwa wanaume na wanawake.
 
Inaathari kisaikolojia, inapunguza bahati za kiroho (chakra) piga punyeto usiku kucha huku ukiangalia pornography za Ebony mystique Na Byron long, asubuhi nenda kaombe kazi, ukiipata hiyo kazi Basi bosi atakuwa ni baba yako
Kama ina athari kisaikolojia basi inatibika kisaikolojia pia. Sio kwa madawa ya kupaka au kuoga.
 
Back
Top Bottom