Dawa ya kumrudisha mpenzi, mume/mke mliyeachana inawezekana kweli?

Dawa ya kumrudisha mpenzi, mume/mke mliyeachana inawezekana kweli?

Kuna mkitabu niliwahi usoma unaitwa Forbidden Education mkubwa una page nyingi tu basi kuna vitu viingi kama hivyo na vingine zaidi hata ya hivyo japo nilishindwa ku practice kujua yaliyomo ni kweli au lah?
Moja kwa Moja naenda kuutafuta huo mkitabu nianze kufaidi mafini yaliyomo
 
Kama Una X wako ambaye una hisi bado una mpenda na una taka mrudiane au arudi kama zamani uwe naye
Fanya hivi

Tafuta tafuta karatasi hizi za kuchorea na mshumaa wa rangi nyekundu

Kwenye ile karatasi wewe andika jina lako la kwanza na la pili la kwako. Jina lake la kwanza na la pili la mwanamke. Andika sababu ambazo zilipelekea ninyi kuachana na kama ni yeye kule mwisho wewe andika nataka uniombe msamaha. Kama ni wewe andika nataka anisamehe Upande mwingine wa karatasi wewe andika unavyo jisikia baada wewe kuachana na yeye na andika sababu kwanini huwezi ku movie on bila yeye

Cha kufanya ni hivi usiku wa ijuma na saa sita za usiku chukuwa mshumaa una washa ukisha washa

Una chukuwa ile karatasi una jikata Na wembe ile damu yake una pakaa kwenye pembe 4 za ile karatasi na katikati
Alafu una kunja kama sigara ukisha kunja unawasha ile karatasi na moto wa mshumaa uku ukitamka maneno haya

Ninakuomba Venus, mungu wa upendo, Venus ambaye hutoa furaha ya upendo, tafadhali. Fanya (jina la mtu) anipende, upendo wetu uwe safi na wa milele.

Utakuwa una tamka maneno hayo mpaka pale ile karatasi itakapo malizika

Alafu Utakuja kunishukuru

Kama una Tata kumrudisha mwanamke huyo kwa tamaa zako binafsi my bro usifanye ivo maana utakuja kujutia baadae
Nimecheka sana 😂😂😂
 
Nasikia watu wakijinadi kuwa kuna dawa za kurudisha mke/mme aliyekuacha ili hali bado unampenda? Wenye ushuhuda na hii mambo lete mrejesho hapa.
 
Ni kazi bure tu mkuu, kumbuka kuna sababu kwanini mliachana mwanzo. Sikushauri utafute suluhu ya mahusiano ambayo yameshavunjika.

Ni kama vile ujaribu kumfufua mtu ambaye amekwisha kufa.
 
Nasikia watu wakijinadi kuwa kuna dawa za kurudisha mke/mme aliyekuacha ili hali bado unampenda? Wenye ushuhuda na hii mambo lete mrejesho hapa.
Sema tatizo lako tukushauri
Usitafute msaada kwa shetty
 
Angalia chanzo cha tatizo lilofanya muachane rekebisha na aone kabisa umejirekebisa. Atarudi. Asiporudi basi huyo hakupangwa kua wako.

Kama tatizo liliosababisha muachane ni yeye, mpotezee. Kwanini umng'ang'anie mtu ambae amekukosea na hajutii kosa lake? Kuna wakati acha nature ifanye maamuzi and learn to let go.

NB: Nipo getto hapa nasikiliza ngoma ya Marioo - Inatosha[emoji445][emoji445][emoji445]
 
Habari wana JF! mimi si member mpya katika kijiwe chetu pendwa ila nimeweka ID mpya sababu ya kulinda kujulikana ni nani maana wengi wananifahamu ID yng humu JF

Jamani wakuu naombeni msaada tumekwazana na mpenzi wangu km yalivyo mapenzi ila amebadilika ghafla yaani ninavyosema ghafla namaanisha maana hakuaga na hanaga tabia km hizi alizonazo kuna muda anabadilika mara anakaa sawa...nimekaa nae chini kiupole sana kumuuliza tatizo ni nini hana cha maana anachojibu yaani kiufupi amekua haeleweki kibaya zaidi ananiambia tuachane....yawezekana na sound km mjinga ila kiukweli moyo wangu unakataa kabisa kabisa kumuacha aende tumekua kwenye mahusiano kwa muda mrefu tumefanya vingi hii haki imenifanya siwezi kabisa kumsahau nimejitahidi nashindwa.

Nalala usiku naweweseka...nashindwa kula kabisa imefikia hatua kichwa kinauma upande mmoja naenda hospitali jupima nikidhani ni ugonjwa daktari akaniambia nina msongo wa mawazo(depression) nimejaribu sana kufanya uchunguzi kujua labda huyu mwenza wangu kapata mtu mwingine kwa uchunguzi wa awali kwenye simu yake kwa siri sijapata baya lolote na kwa nje hivi pia sijasikia loloteo nimehama hadi mazingira niliokua naishi nae lakini wapi hali inasidi kua mbaya kiupande wangu! Kichwa hakiachi kuniuma...nashindwa kula kulala yaani kuna muda natamani kua km watu wengine wenye furaha ila kwangu ni tofauti nimejaribu kubadili mazingira...kukaa na watu lakini haijasaidia! Nimepiga magoti nimeomba mno lakini wapi..

Sitegemei mtu anijudge ila kiukweli nilipofikia nimesikia mengi kuhusu mambo ya wataalamu(mafundi) au waganga wa kienyeji kama kuna mtu ambae aliwahi kusaidiwa au anamfahamu mtu aliewahi kusaidiwa jamani anisaidie PM au kwenye comment mi ntamfata PM kwa details zaidi maana natamani hadi kufa wakuu!

Haya mambo yapo na hayajaanza jana wala leo jamani namuhitaji sana bado mpenz wangu nashindwa ht kuendesha vzr shughuli zng za kila siku sababu ya maumivu niliyonayo moyoni mwenye msaada anisaidie natamani arudi tena kwangu maisha yaendelee km kawaida

Nawaombeni sana[emoji1431][emoji24]
Kimbisa kwa ID mpya pole kwa haya unayopitia lakini yangu ni haya

Zipe muda hisia zako zipumzike.. Nothing last forever.. We are living in the very impermanence world.. Sisi wa jana sio sisi wa leo na hatutakuwa wa kesho.. Its just a realm of eternity in the repeated circle!
Najua maumivu ya hisia za mapenzi yalivyo.. Moyo unakuuma mpaka unatamani uung'oe au uutapike! Kichwa kinapasua mpaka unatamani ukifunge kamba, ukisikia YOU STOLE MY HEART AND FEELINGS ndio hii sasa! Kila unachokiwaza unamuona yeye, si harufu, si rangi, si chakula nknk.. Na kila simu ikiita ama msg ikiingia unatamani awe yeye! Mlango ukigongwa unatamani ukifungua ukutane na sura yake
We truly love only once in lifetime! Na hakuna kitu kibaya kama love at first site! Yanatesa sana haya mapenzi LAKINI
Huyu unayeteseka juu yake hana hisia tena na wewe! Hisia zina roho huja na kuondoka, huzaliwa hukua na hatimaye hufa! Kama kuna mganga ama mchawi aliwahi kufufua mfu basi watakuwepo wenye uwezo wa kurudisha hisia zilizokufa
Usidanganyike kuambiwa kuna tiba ya kumrudisha mpenzi ambaye hisia zake kwako hazipo tena zimekufa kifo cha asili! HAKUNA! Out of frustrations utakutana na madalali wa ulozi na kukushuhudia kwwmba hili linawezekana na watakupeleka kwa wataalam waliokwisha kuwapanga! Huko utaliwa pesa na kupewa matumaini hewa ili kuvuta muda ukate tamaa
Kuna mazingira ya kufanya akarudi kama umeporwa kwa nguvu ya juju, lakini kama ni natural death SAHAU!

Ni lazima utafakari ulikotoka ulipo na uendako.. Hasa kesho yako ni muhimu kuliko hisia zilizojeruhiwa
Hakuwepo kwako kabla, halafu akaja kwako akakuteka mazima kishapo akaondoka.. Usiumie sana kwakuwa hakumaanisha kuwa wako milele.. Kuna hiki kipindi cha maumivu makali na kumhitaji sana

Acha uumie kadiri iwezekanavyo ili uchungu na nguvu ya maumivu viishe! Usijaribu kuyakimbia ama kuyazuia maumivu kwa hali yoyote ile maana unaweza kujidhuru.. Kikubwa ni kuilinda afya yako kwakuwa nje ya yeye kuna wengine bado wanakupenda na kukuhitaji sana

Only time can heal broken heart.. Muda pekee ndio tiba ya hisia za mapenzi zilizoumizwa na kujeruhiwa kabisa.. Jitahidi sana majeraha hayo yasije kuleta kifo ama ulemavu MTUMAINIE MUNGU WAKO WAGANGA WATAKUPOTOSHA NA WENGINE WATAKUPOTEZA

Nakuombea upite salama kipindi hiki na mwakani tukipewa kibali cha uzima na afya tukutane tena kwenye hii mada

 
Pole sana hamna haja ya kutafuta Dawa ya kumrudisha kuwa busy na mambo yako utamsahau na maisha yataendelea kama kawaida.
 
Mimi n me nna tatizo kama la mme wako,ila aliefanya mpka nafika stg hyo n yy cz huwa unakuta unachat mara afanye ku mute kujibu msg na azime sim,mm nkaona kama dharau nikakaa kimya kwa muda mara anze kukutafuta tena,itoshe kusema tu nyue kuna muda mnaamua kutisikisa kiberit ili mjue mnapendwa kias gan,sasa nkushauri tu kqma ushawah mpima huyo mpnz wako kw kumuweka majaribun,kama kampata anaemzuzua jiandikie umepoteza,ukipendwa pendeka,acha kupima kina cha maji kwa mguu
Unamshauri mwenzako kwa vitu vilivyokutokea wewe. Kama mwenzio alitikisa kiberiti ili ajue kama anapendwa ni yeye, sio wengine
 
Alinikwaza na mimi nilimkwaza ila hazikua sababu zenye mashiko kabisaa kufikia huku na kiupande wangu niliomba msamaha kwa pale nilipokosea tena mapema kabisa baada ya kuona nimemkosea...akawa km amekubali mara aniambie tuachane kuna siku akainsist sana nimuache nikajibu kiunyongr tu sawa maana sikua na jinsi baada ya siku mbili akanitafuta kutaka yaishe na alikosea nikamwambia its okay yameisha....ila tena ghafla hata siku mbili hazijapita ananiambia anaona bora aniache yaani inshort yupo km psycho kuna muda anakua sawa kuna muda anazingua mwisho wa siku ikafikia hapokei cm wala hajibu txts
Potezea bwana. Mbona hata mimi aliniacha nikawa nampigia simu hapokei hata leo hii nikipiga simu hapokei ila nmeshakubaliana na hali na nina tamba tu. Kubembeleza ndiyo nilishagashindwa
 
mkuu hapo siyo dawa tena ya kumrudisha bali huwa ni dawa ya kumtuliza,wanawake huwa wanakumbwa na mambo mengi sana hasa mapepo na mavitu mabaya hasa ule mda ambao wanakuwa hedhi,ambao naweza kusema milango ya mapepo kuingia inakuwa iko wazi sana ndo sababu kubwa hasa kwa mapepo kuwa kwa wingi sana kuwa kwa wanawake na siyo wanaume,
2,dawa ya kumrudisha mpenzi pia wapo watu wanazo ila hizo huwa zaidi zinafanywa hasa kipindi kile mwenzako yuko mbali may be china kimasomo but unakuwa humuelewi basi ikifanywa hyo dawa ndani ya muda mfupi anaweza kudandia hata ndege ilimradi tu arudi kwako
Kama huyo ni mke wako ningekusaidia mtu,ukaenda kabisa nyumbani kwake na hela ya huduma unamlipa baada ya kufanikiwa hutoi sent,sema kam siyo mkeo hawez kukubali katu

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro nitafute pm
 
Back
Top Bottom