Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana hela huyo ujue.Dah mkuu me 20+ mvi kibao ww 40+ bado unalalamika
Mie nakula mayai mabich tangu nipo na 20+mpaka sasa nina30+ nina mvi balaaa...hiyo ni ukoo tu..dawa ni kutumia maganda ya viazi lkn uwe mvumilivu siyo jambo la siku mojaMimi najua ukosefu wa vitamin b 5 ndo unaleta mvi mapema na protein hivyo Kama ukipata hiyo vit itazipunguza mvi, pia ipo kwenye mayai, unaweza kutumia mayai na maziwa. Zingatia kuacha sukari ili usinenepe wakati unatumia.
Jamanii Jeniii😅😂Kunywa juisi ya mkaa
Lowassa maziwa kwake ni kama maji ni mfugaji kabisa achana na maziwa ya kununua sokoni ila mwangalie kichwani utapata jibuJitahidi kula protein kwa wingi hasa maziwa.
Sasa itakubidi uanze kula mayai yaliyopikwa sio mabichiMie nakula mayai mabich tangu nipo na 20+mpaka sasa nina30+ nina mvi balaaa...hiyo ni ukoo tu..dawa ni kutumia maganda ya viazi lkn uwe mvumilivu siyo jambo la siku moja
Acha uboya unaogopa kuitwa MA MVI kama NgoyaeWandugu naombeni dawa ya Kuondoa mvi kichwani. Kwani nywele zangu zimejaa mvi. Miaka yangu ni 40+ tu. Kama kuna dawa nipeni.
Discreet,ipo SH AmonWandugu naombeni dawa ya Kuondoa mvi kichwani. Kwani nywele zangu zimejaa mvi. Miaka yangu ni 40+ tu. Kama kuna dawa nipeni.
Feedback mtupe kwa aliye fanikiwa kupungua mvi kwa njia hi Nas tuanzeHio ina maana melanocytes zimeacha kuzalisha melanin(rangi nyeusi) kwenye hair follicles ndio maana weusi kwenye nywele haupo.
Tumia majani ya mpera,
Unachuma majani kama kumi hivi unaosha halafu unasaga kwenye blenda au unatwanga,
Baada ya hapo weka maji kijiko kimoja cha chai halafu chuja upate maji ya mpera
Pakaa kichwani na acha kwa saa 1,halafu osha.
Fanya mara 3 kwa wiki kwa mwezi mmoja utaona matokeo.
Tumuulize mleta mada,mi nilitoa uzoefu tuFeedback mtupe kwa aliye fanikiwa kupungua mvi kwa njia hi Nas tuanze
Maana mm tatizo la greyish hair limeanza nikiwa na 19 na saiz Niko around 20s
Kwa umri Hilo n tazto maan mvi unatakiwa uanz around 40s
Kikubali TU...au bandika kawigi kakiume..nimeona wanavibandika viwigi na gundi kinalast 2 weeks...unarudi Tena saloon...Nataka ya kuondoa kipara
Anakunywa ya ngombe hata mtoto mchanga haruhusiwi kutumia, tumia fomula yale ya kopo yanakuwa balance au protein shake kabisa, Kuna mpaka fomula za protein za melatonin, collagen, elastic zipo ukiwa na upungufu nazo unakunywa unakuwa sawa.Lowassa maziwa kwake ni kama maji ni mfugaji kabisa achana na maziwa ya kununua sokoni ila mwangalie kichwani utapata jibu