tingetinge2
Member
- Oct 15, 2016
- 32
- 15
- Thread starter
-
- #41
Asant kwa ushaur wakoMkuu anza kupenda kutumia vyakula vya asili na matunda kwa wingi pamoja na kunywa maji mengi itakusaidia sana kuna mabadiliko utayaona!
-Nyerere-
Ukiona mtu anakuja kuomba ushauri jamii forums ujue kazunguka sana hospital bila mafanikioNenda hosp tena naona michango inatiririka sasa mwisho utakula sumu bure.
Eg. Asalixtango= sumu
Sperm ziko low .nshitaj ushaur ili ziwe normal km kuna dokt bingwa unaemjua au hat tiba mbadala muhim kwang ni kupat tiba ya tatizoNenda kapime sperm count...kisha ukipata majibu mpeleke mwenzi wako akapimwe ba madaktari bingwa wa kike. its possiple ni kawaida mdau.
Asant San ila mm hua natumia chai ya mdalasin na tangawiz .Nitafuata ushaur wako.
Napokea ushaur wenu wadau hik kitu kinaninyim rah ya kuishi
Wewe si Mvulana! Wewe ni mwanaume...JIAMINI!!! usifanye mapenzi mara kwa mara, walau mara 2 kwa wiki...pendelea kula karanga, korosho, Asali na amdalasini kwenye chai! Usifanye mapenzi siku 7-4 kabla ya mkeo kufika siku hatarishi (siku atakazokuwa na asilimia nyingi ya kupata mimba)...baada ya mapumziko hayo na ulaji wa hivyo vitu, fanya mapenzi katika siku hizo hatarishi!!! Suala la msingi zaidi RELAX...wakati upo kwenye tendo jiaminishe kuwa mbegu utakazomwaga siku hiyo zitaota! Hapo utakuwa umetibu tatizo la kimwili na kiakili...MIMI NAAMINI UWEZO UNAO, NAWE JIAMINI PIA!!!Wadau wa jf najua mara nying hutoa msaada kwa mambo ya afya. Mimi ni mvulan Nina mwak wa2 kweny ndoa cjabahatik mtoto niliwah kupima kipind ch mwak1 nyuma niliambia Nina tatiz la low sperm,poor progressive,poor morphology. Cvut cgar clewi .Naomba msaada wa daw na hospital inayoweza kupat matibabu Asanten sana
Asant nduguWewe si Mvulana! Wewe ni mwanaume...JIAMINI!!! usifanye mapenzi mara kwa mara, walau mara 2 kwa wiki...pendelea kula karanga, korosho, Asali na amdalasini kwenye chai! Usifanye mapenzi siku 7-4 kabla ya mkeo kufika siku hatarishi (siku atakazokuwa na asilimia nyingi ya kupata mimba)...baada ya mapumziko hayo na ulaji wa hivyo vitu, fanya mapenzi katika siku hizo hatarishi!!! Suala la msingi zaidi RELAX...wakati upo kwenye tendo jiaminishe kuwa mbegu utakazomwaga siku hiyo zitaota! Hapo utakuwa umetibu tatizo la kimwili na kuajiri...MIMI NAAMINI UWEZO UNAO, NAWE JIAMINI PIA!!!
Unaudhi sana mkuu[emoji115]Tafuta machozi ya samaki changanya na mdarasini pamoja na yai la mjusi kafiri tengeneza juice kunywa ndani ya wiki 2 nitafute
Asant kk ,Mkuu, mkabidhi Mungu tatizo lako. jua kuwa Kwa Mungu yote yanawezekana,. Hilo ni jaribu ambalo Mungu ameliruhusu ili kukufundisha kitu flani. Mungu anataka ajifunue kwako kupitia jaribu hilo.
Nenda katika Kanisa la WALIOOKOKA, (usiende kwa hawa wanaojiita mitume na nabii) ; kaa kitako na Mchungaji wa Kanisa hilo mweleze bila kuficha kitu, atakuelekeza ya kufanya. Nakuhakikishia Mungu Muumba mbingu na nchi atajitwalia utukufu wake.
Mimi binafsi nilikaa na ndoa miaka sita bila mtoto ila baadae Mungu akanonekania katika hilo maisha sasa ni burudani kabisa. Tafadhali usiseme kuwa "huoni thamani ya maisha" usimfungulie ibilisi milango. God bless brother, we are together.
Kula vizuri mkuu usile mavyakula ya artificialKorodan zipo na mzigo nakula fresh tu cna tatizo kweny nguvu za kiume
Sawa kaka nimo ktk kuckiliz ushaurKula vizuri mkuu usile mavyakula ya artificial
Wee kweli ****** yaani unampa maelezo nusu nusu ukipata tatizo bahati mbaya huko uliko na ukashindwa kuingia jf si utamkwamisha jamaa
Seriously....!Tafuta machozi ya samaki changanya na mdarasini pamoja na yai la mjusi kafiri tengeneza juice kunywa ndani ya wiki 2 nitafute
hii nayo nasikia ni shida mkuuTumia mbegu za maboga kwa kuzitafuna zikiwa mbichi kwa muda wa siku 25 mpaka 30. Kisha utakuja kunisimulia ndugu we mwenyewe utashangaa na kufurahi pamoja na mkeo. Asanteni.
Tafuna mbegu 150 mara 3 kwa siku
Shida kivphii nayo nasikia ni shida mkuu