Dawa ya kuongeza uzalishaj mbegu za kiume

Dawa ya kuongeza uzalishaj mbegu za kiume

Ilikuwa niku pm lakini nimeona nikuelekeze hapahapa na kama kuna wengine wana tatizo inaweza kuwasaidia pia.

Hii ni tiba ya asili.

Elewa kuwa process yake ni ya muda mrefu, inaweza ikachukuwa miezi mitatu mpaka mwaka, ila usikate tamaa na ufate maelekezo.

Anza kwa kunywa maji ya mdalasini kwa siku zisizopunguwa 45, glass moja kubwa kabla hujala kitu asubuhi, mchana kabla ya kula, usiku kabla ya kula, na usiku kabla ya kulala.

Kwa maana utakunywa glass 4 kwa siku.

Tuanzie na hiyo, baadae ntakuletea nini cha kufanya baada ya hapo.

Unikumbushe kupitia hapa hapa.
Wee kweli yaani unampa maelezo nusu nusu ukipata tatizo bahati mbaya huko uliko na ukashindwa kuingia jf si utamkwamisha jamaa
 
Tumia mbegu za maboga kwa kuzitafuna zikiwa mbichi kwa muda wa siku 25 mpaka 30. Kisha utakuja kunisimulia ndugu we mwenyewe utashangaa na kufurahi pamoja na mkeo. Asanteni.

Tafuna mbegu 150 mara 3 kwa siku
Jamaa si utamshibisha mbegu huyu??mbegu 150 x 3 kwa siku ni mbegu 450
450 x siku 30 =13500 kudaaaadeki
 
Tumia mbegu za maboga kwa kuzitafuna zikiwa mbichi kwa muda wa siku 25 mpaka 30. Kisha utakuja kunisimulia ndugu we mwenyewe utashangaa na kufurahi pamoja na mkeo. Asanteni.

Tafuna mbegu 150 mara 3 kwa siku
Hizo mbegu mbon jazpatikan cku hiz km Ww unajua zinapopatikan Naomba unielikeze
 
Korodan zipo na mzigo nakula fresh tu cna tatizo kweny nguvu za kiume
Nguvu za Kiume ni Tofauti na uzalishaji Wa Mbegu.. Dawa Ambazo utataikiwa Kuzipata Ni Kulingana na Tatizo lako la low Sperm Count.. unaweza kupewa Hormone za Kukuwezesha Kukuza Mbegu

Nenda Hospitali Kwa Daktar Bingwa Wa Kiume Utapata Ushauri zaidi
 
Pole sana kijana mwenzangu,hapa ndo tunapopata funzo la imani kijana kama we unahangaika kupata mtoto lkn mungu hajakujaalia lkn kuna lingine saa hii lipo bafuni linarusha tu masperm litre nzima
Inaweza ikawa kamasi tu haina uhai
 
Kwa vyakula ni hivi:-

1) Karanga Mbichi (au chemsha kidogo sana zilainike)


2) Mihogo mibichi (kula kidogo tu kwasababu zina side effects)


3) Maziwa mix na Asali mbichi. 1 table spoon in 1 cup


4) Ndizi ng'ombe mbivu.



5) Tangawizi mix na Mdalasini zichemshe kidogo sana.



6) Sea foods (Pweza, samaki wekundu n.k) zina wingi wa zinc.



7) Parachichi + mbegu za maboga ambazo hazijakaangwa.



8) Tikiti maji (iliyolimwa organically sio chemically)



ONYO: Epuka kutumia vyakula vya mafuta ya wanyama au vegetables (yaani mafuta yanayoganda)

Pia, fanya mazoezi hata mara 3 kwa wiki.


NOTE: Sio lazima utumie vyakula vyote hivyo kwa pamoja.

INCASE HAZIJAKUSAIDIA: kama upo Arusha nikudirect kwa mzee mmoja wa kimasai kisha utaleta mrejesho hapa.

Good luck,
Sawa ndugu nitafuat ushaur na itakua vizur ukinipa mawasiliano ya hiyo mzee wa kimasai maana ckuhiz ni utandawaz kukaambl c tatiz, hil tatiz linanikosh rah ya maisha mm na mke wangu
 
Tumia mbegu za maboga kwa kuzitafuna zikiwa mbichi kwa muda wa siku 25 mpaka 30. Kisha utakuja kunisimulia ndugu we mwenyewe utashangaa na kufurahi pamoja na mkeo. Asanteni.

Tafuna mbegu 150 mara 3 kwa siku
Duh
 
Nguvu za Kiume ni Tofauti na uzalishaji Wa Mbegu.. Dawa Ambazo utataikiwa Kuzipata Ni Kulingana na Tatizo lako la low Sperm Count.. unaweza kupewa Hormone za Kukuwezesha Kukuza Mbegu

Nenda Hospitali Kwa Daktar Bingwa Wa Kiume Utapata Ushauri zaidi
Ni meomba msaada wa kuelekezewa madaktat bigwa wa hayo matatiz .km unawajua Naomba msaada wako
 
Sawa ndugu nitafuat ushaur na itakua vizur ukinipa mawasiliano ya hiyo mzee wa kimasai maana ckuhiz ni utandawaz kukaambl c tatiz, hil tatiz linanikosh rah ya maisha mm na mke wangu
Mkuu kweli sikuchukua namba yake wakati ule na sidhani kama alikuwa na simu, ni mpaka niende Arusha.
 
Mkuu anza kupenda kutumia vyakula vya asili na matunda kwa wingi pamoja na kunywa maji mengi itakusaidia sana kuna mabadiliko utayaona!

-Nyerere-
 
Back
Top Bottom