saratoga1285
Member
- Dec 15, 2016
- 29
- 18
- Thread starter
- #21
Shetani kibwengo Ww??? Sura Ka yakoToa mimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani kibwengo Ww??? Sura Ka yakoToa mimba
Dada mi mke wangu ana ujauzito wa miez 2, anatapika sana kila anachokula kinarudi, niko dar unaweza nisaidia iyo dawaMkuu upo wapi nikutumie dawa maza kashasaidia watu wengi sana
MPE pole jamani..Mie ilinishinda kila dawa. Nikachomwa sindano za mishipa wapi!!! Daah yule jamaa aliyegundua dripu mungu amtunze, ndio zilizoniokoa!
Hyo nosic haizuii kutapika,inazuia wernickles encephalopathy,dawa nzuri ni promethazine and iv fluids ili Ku replace fluid loss,proper feeding kuepusha malnutrition and under weight kwa mtotoAtumie Nosic asubuh mapema sana kabla hajala chochote
Pia tangawizi inasaidia sana
DuHyo nosic haizuii kutapika,inazuia wernickles encephalopathy,dawa nzuri ni promethazine and iv fluids ili Ku replace fluid loss,proper feeding kuepusha malnutrition and under weight kwa mtoto
Dr mie alirecommend nitumie izo na zilinisaidiaHyo nosic haizuii kutapika,inazuia wernickles encephalopathy,dawa nzuri ni promethazine and iv fluids ili Ku replace fluid loss,proper feeding kuepusha malnutrition and under weight kwa mtoto
Uliwekewa dripu la dawa gani msaada pleaseMPE pole jamani..Mie ilinishinda kila dawa. Nikachomwa sindano za mishipa wapi!!! Daah yule jamaa aliyegundua dripu mungu amtunze, ndio zilizoniokoa!
Acha tu...siyo kwa haya mateso ninayopata! Hakuna kitu kinakaa tumboni kwa dakika ishirini kabla hakijarudiMtoto ni first trimester jamani
Acha tu...siyo kwa haya mateso ninayopata! Hakuna kitu kinakaa tumboni kwa dakika ishirini kabla hakijarudi
Ahsante mumyPole sn mamy
Toa mimba
Pole sana, mbona hukuniPM?
Bado nasubiri meseji yako
Kumbe nilitakiwa nikuPM?Pole sana, mbona hukuniPM?
Bado nasubiri meseji yako
Kama mna dawa zenu za kienyej sawa. . Ukitaka iishe ni Tabs : promethazine .. pia ina sindano promethazine injections ambayo unaweza tumika kama drip ( Iv) .
Ni vizur kwnye hospital kuna condition inayo wapata wajawzito wachache ya kutapika kuliko pitiliza ni vizur Dr akuone pia epuka kubeba kila ushauri huku naku tumia kila dawa mimba ikiwa kwnye first trimester(
NOTE: Dawa ni hiyo hiya promethazine ata hospital. Japo kuna pedzinc ( pediatric zinc) hii tunawapaga watoto sanasana japo pia ina leta mafanikio chanya kwa watu wazima.
Na wasilisha.
This is mainly because the blood flow to the woman's kidneys increases by up to 35 to 60. Na huwa unachukua week 6-9 then inakuwa normalHivi inakuwaga nn mjamzito anakojoa kwa usk mara 17 mkuu?