Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iwekewe ladha ya machungwa ?.meza dawa lazima uteseke kidogo usikae kizembe zembeHivi wataalam wa pharmacy hamuwezi jamani kutufanyia kitu kwenye hii dawa? nakunywa tu nisife, harufu mbaya, ladha mbaya. Kila nikiwa nataka kunywa nahisi kutapika.
Hebu wataalamu njooni hapa kama kuna namna ya kufanya kwenye hii dawa mtusaidie!
Jasho lazima linuke mseto. Vilevile shuka ulilolaliaSawa mkuu [emoji28] ilaaaa mseto Dah [emoji24][emoji24][emoji1784]
Mseto hauvumiliki!! Zamani nilikua nakunywa dawa nyingine nyingine kwajili ya malaria ila nyingi zina sulfur ambayo nina allergy nayo!Aisee nakuelewa, Mimi nilikatisha dozi, mavidonge manne halafu, harufu mbaya, yanachosha ukinywa unaanza upya kuumwa aisee mseto sio poa.ilibidi nibadilishe dawa nikanywa artequick.
Mseto lazima ikukandamize uugue upya kama siku mbili kisha ndo unaanza kupata nafuu.Kua smart. Nenda kanunue ile mpya ambayo unakula kidonge moja badala ya 4.
Usixhojua kuhus mseto n kuwa haina hangover.
Hizo madawa zingine utameza fresh lkn hangover yake utatubu
Achana na uchungu swala ilikuwa ukikaribia kupona mwili unawasha hutamani kujifunika shukaHiki kizazi hiki jamani.
Mngeonja muziki wa Quinine na Chroloquine je? Mtu unakunywa leo mpaka kesho na kesho kutwa uchungu wake bado unausikia kwenye ulimi!