Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe embu ngoja nione!!
Mara kwa mara imekuwa ni kuisikia vitunguu swaumu lkn leo ndo mara ya kwanza kusikia vitunguu maji. Ndo maana Isaac ndodi kila kitu alikuwa anasema ni dawa, sijui yuko wapi siku hizi hasikiki
Nguvu za kiume ni tatizo kubwa sana siku hizi! waganga nao sasa hasa wa mjini wanatumia mwanya huo kuibia watu kwa kuchanganya madude madude na Viagra! Pia wale watu wa mikoani wanapata shida kupata mchuzi wa pweza ambapo kakipande ka pweza kana bei kama nini?
Ukitaka kujua huna nguvu za kiume, pima umbali wa mita 3 alafu kojoa ule mkojo wa ahsubuhi ukiona hauvuki alama ya umbali huo basi ujue hata wakati wa ku-ejaculate zile kitu mkeo hazisikii zikiingia nakumtia mwasha washa! mwingine akiingia tu anamaliza mkewe ndio kwanza anahisi kuanza huku mzee risasi ndio umeagiza!
TUMIA HII DAWA IKUOKOE!
Vitunguu maji + siagi + asali
Hivi vitu havina gharama lakini ni dawa wewe fanya hivyo one wiki njoo hapa utaniambia siku hizi shemeji anaomba poo!
kama inakuchanganya tumia maziwa ya ng'ombe wa kienyeji na asali mbichi just kijiko kimoja kwenye glass moja ya maziwa alafu tafuna kipande cha kitunguu maji meza maji yake! tengeneza kila unapo taka kutumia!
Nguvu za kiume ni tatizo kubwa sana siku hizi! waganga nao sasa hasa wa mjini wanatumia mwanya huo kuibia watu kwa kuchanganya madude madude na Viagra! Pia wale watu wa mikoani wanapata shida kupata mchuzi wa pweza ambapo kakipande ka pweza kana bei kama nini?
Ukitaka kujua huna nguvu za kiume, pima umbali wa mita 3 alafu kojoa ule mkojo wa ahsubuhi ukiona hauvuki alama ya umbali huo basi ujue hata wakati wa ku-ejaculate zile kitu mkeo hazisikii zikiingia nakumtia mwasha washa! mwingine akiingia tu anamaliza mkewe ndio kwanza anahisi kuanza huku mzee risasi ndio umeagiza!
TUMIA HII DAWA IKUOKOE!
Vitunguu maji + siagi + asali
Hivi vitu havina gharama lakini ni dawa wewe fanya hivyo one wiki njoo hapa utaniambia siku hizi shemeji anaomba poo!
kama inakuchanganya tumia maziwa ya ng'ombe wa kienyeji na asali mbichi just kijiko kimoja kwenye glass moja ya maziwa alafu tafuna kipande cha kitunguu maji meza maji yake! tengeneza kila unapo taka kutumia! tumia kwa siku mara mbili kwa muda wa wiki nzima then njoo hapa toa ushuhuda wako!
Athari za kukimbia masomo ya science hazifichiki..Unaijua projectile yenye distance ya mita tatu wewe..?
siagi ya nin mkuu
Je hata kwa mademu wanaweza tumia ?au ni kwa ajili ya mameni tu?
Athari za kukimbia masomo ya science hazifichiki..Unaijua projectile yenye distance ya mita tatu wewe..?
Mtaalam mwenyewe bado anakibao cha Learner(L).
Vitunguu maji +Siagi +Asali = ____
Unavifanyaje sasa?
1-Kujichua navyo.
2-Kutafuna.
3-Kutwanga Kisha kumix kwenye
maji ya kuoga.
4-Kujifukiza.
Hebu nyoosha maelezo ueleweke mkuu!
Athari za kukimbia masomo ya science hazifichiki..Unaijua projectile yenye distance ya mita tatu wewe..?
Me natafuta yakupunguza nguvu mkuu kama ipo.