Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

Dawa ya nguvu za kiume + performance kula nusu tikiti maji kama 30 min before kipyenga
Wife alisha jua siku akija na tikiti huwa ananionyesha kwa kidole kimya kimya halafu mimi namkonyeza! Watoto wasishtukie
 
Haujafafanua mkuu, unachanganya pamoja au unakula kimojakimoja vikachanganyikie tumboni?!

Mkuu Mportugal a.k.a Mreno hilo li Avatar lako mbona linatishia usalama wa watu wengine. Oohhhh JF noma, usiku mwema
 
Last edited by a moderator:
Mara kwa mara imekuwa ni kuisikia vitunguu swaumu lkn leo ndo mara ya kwanza kusikia vitunguu maji. Ndo maana Isaac ndodi kila kitu alikuwa anasema ni dawa, sijui yuko wapi siku hizi hasikiki
 
Mara kwa mara imekuwa ni kuisikia vitunguu swaumu lkn leo ndo mara ya kwanza kusikia vitunguu maji. Ndo maana Isaac ndodi kila kitu alikuwa anasema ni dawa, sijui yuko wapi siku hizi hasikiki

fanya nayo kuelekeza mkuu hivyo wamefanya sana watu hadi leo wanalia ndio maana naokoa hapa jahazi bila malipo!
 
Nguvu za kiume ni tatizo kubwa sana siku hizi! waganga nao sasa hasa wa mjini wanatumia mwanya huo kuibia watu kwa kuchanganya madude madude na Viagra! Pia wale watu wa mikoani wanapata shida kupata mchuzi wa pweza ambapo kakipande ka pweza kana bei kama nini?
Ukitaka kujua huna nguvu za kiume, pima umbali wa mita 3 alafu kojoa ule mkojo wa ahsubuhi ukiona hauvuki alama ya umbali huo basi ujue hata wakati wa ku-ejaculate zile kitu mkeo hazisikii zikiingia nakumtia mwasha washa! mwingine akiingia tu anamaliza mkewe ndio kwanza anahisi kuanza huku mzee risasi ndio umeagiza!
TUMIA HII DAWA IKUOKOE!
Vitunguu maji + siagi + asali
Hivi vitu havina gharama lakini ni dawa wewe fanya hivyo one wiki njoo hapa utaniambia siku hizi shemeji anaomba poo!

kama inakuchanganya tumia maziwa ya ng'ombe wa kienyeji na asali mbichi just kijiko kimoja kwenye glass moja ya maziwa alafu tafuna kipande cha kitunguu maji meza maji yake! tengeneza kila unapo taka kutumia!

Athari za kukimbia masomo ya science hazifichiki..Unaijua projectile yenye distance ya mita tatu wewe..?
 
Je hata kwa mademu wanaweza tumia ?au ni kwa ajili ya mameni tu?
 
Nguvu za kiume ni tatizo kubwa sana siku hizi! waganga nao sasa hasa wa mjini wanatumia mwanya huo kuibia watu kwa kuchanganya madude madude na Viagra! Pia wale watu wa mikoani wanapata shida kupata mchuzi wa pweza ambapo kakipande ka pweza kana bei kama nini?
Ukitaka kujua huna nguvu za kiume, pima umbali wa mita 3 alafu kojoa ule mkojo wa ahsubuhi ukiona hauvuki alama ya umbali huo basi ujue hata wakati wa ku-ejaculate zile kitu mkeo hazisikii zikiingia nakumtia mwasha washa! mwingine akiingia tu anamaliza mkewe ndio kwanza anahisi kuanza huku mzee risasi ndio umeagiza!
TUMIA HII DAWA IKUOKOE!
Vitunguu maji + siagi + asali
Hivi vitu havina gharama lakini ni dawa wewe fanya hivyo one wiki njoo hapa utaniambia siku hizi shemeji anaomba poo!

kama inakuchanganya tumia maziwa ya ng'ombe wa kienyeji na asali mbichi just kijiko kimoja kwenye glass moja ya maziwa alafu tafuna kipande cha kitunguu maji meza maji yake! tengeneza kila unapo taka kutumia! tumia kwa siku mara mbili kwa muda wa wiki nzima then njoo hapa toa ushuhuda wako!

hii ni noma let's try
 
Athari za kukimbia masomo ya science hazifichiki..Unaijua projectile yenye distance ya mita tatu wewe..?

Usijitie umesoma sana? wala mkojo hauwezi kuwa projected! hiyo Advanced physics ulio-kalili isikufanye udharau kila mtu humu tena subtopic inakufanya uropoke mengi humu! be smart unapoongea na mtu usiyemfahamu!!!!!!
 
Athari za kukimbia masomo ya science hazifichiki..Unaijua projectile yenye distance ya mita tatu wewe..?

Science uliyo soma wewe ni ipi sasa? umefanya innovation gani hapa nchini! acha dharau, akili ya mnywa gongo hiyo mkuu!
 
nyingine hii magadi +unga wa soda +amira
tupia kisha lete mlejesho
 
Mtaalam mwenyewe bado anakibao cha Learner(L).

Vitunguu maji +Siagi +Asali = ____

Unavifanyaje sasa?
1-Kujichua navyo.
2-Kutafuna.
3-Kutwanga Kisha kumix kwenye
maji ya kuoga.
4-Kujifukiza.

Hebu nyoosha maelezo ueleweke mkuu!

Mbombo ngavu...
 
Me natafuta yakupunguza nguvu mkuu kama ipo.
 
Athari za kukimbia masomo ya science hazifichiki..Unaijua projectile yenye distance ya mita tatu wewe..?

Hiyo distance unayo zungumza ni ipi sasa? Horizontal distance au vertical distance na nani kakwambia kila mkojo huwa unatengeneza projectile path!
 
Back
Top Bottom