dawa ya ukimwi yapatikana

dawa ya ukimwi yapatikana

Hili tushalijadili hapa kabla halijaandikwa Mwananchi.
Kama ulishalijadili, kwani umelazimishwa kujadili tena? Au wewe ndio unatoa ruhusa ya mijadala hapa?

Katika miaka mitano hiyo hizo strains zote za UKIMWI zitakaa tu zinawasubiri nyie na hiyo dawa yenu?
Talking as if unamsuta aliyeleta mada. Yeye bila shaka sio Mtaalam wa madawa kama wewe, namuombea msamaha kwako mheshimiwa mjuvi wa kila kitu.

What you do not understand here is that these microbes are not static, they are ever evolving.
Sasa sijui hii unamuaddress nani, mtengeneza dawa au sisi tunaochangia. Kitu kimoja nilichokiona cha hatari hapa ni kwamba, kuwa na mwanamke wa dizain yako kama mke ni janga. Kiherehere cha namna hii sio haiba ya kike. Yaani umefikia kiwango cha kiherehere cha kudhania kwamba, kama sisi hatujui hata mtengeneza dawa hajui. Kwa hiyo ww ndio una akili saaana kiasi cha kuona hamna haja ya kujisumbua, ni kukaa tu chini na kukubali matokeo kwa kuwa microbes are not static?!!!

Washagundua kuna mbu huko Thailand anaeneza strain ya Malaria ambayo hai respond kwa madawa makali kabisa tuliyo nayo ya Mlaria.
Nilifikiri umegundua wewe, kumbe wao hao hao. Enhe, kwa hiyo hii inahusianaje na ukimwi labda?

UKIMWI au hata HIV si kitu kimoja kilicho static useme umeshakipatia tiba.
Una laana ya majisifu wewe sio bure. Yaani unataka kuniambia maabara zooote duniani zinazohangaika kutafuta tiba ya UKIMWI hawana akili wewe ndio unajua saana kuwa ukimwi sio kitu kimoja?

Ni virusi tofauti vinavyo evolve bila kutabirika.
Hili uliligundua wewe au hao hao wanaotafuta tiba?

So at best this is a cat and mouse game.

Sorry to burst your bubble.

Halafu usiamini hayo magazeti ya kibongo vichwa vya habari vikuubwa wanataka kuuza copies tu, fuata relaible sources uone challenges halisi zilizopo.
Mimi naona kuanzia sasa 'relaible' source yangu ni wewe manake unajua sana kuliko hata hao watengeneza dawa. Leo umenifumbua macho kuwa HIV si kitu kimoja kwa hiyo yeyote anayesema amepata dawa yake ni mwehu.

Nikushukuru pia kwa kuipatia dunia tiba ya Tauni, TB, Smallpox, Chickenpox, Malaria na Kaswende. Naamini kwamba, ni uzoefu ulionao wa kuipatia dawa dunia ndio umekupa nafasi ya kuona kwamba hakuna mwingine anayeweza kuipatia dunia tiba ya ukimwi ikiwa wewe umeshagundua kuwa 'zis maikrobs aa not statik'.
 
Kama ulishalijadili, kwani umelazimishwa kujadili tena? Au wewe ndio unatoa ruhusa ya mijadala hapa?

Sijalazimishwa kujadili tena, na wala sijalazimishwa kutojadili tena. What's your point?

Kwa nini ufikiri wazo zima la mimi kutoa ruhusa? Tatizo ukiwa na negativity hata mtu akisema "hili tushalijadili hapa" kwa maana ya kwamba kama unataka thread yenye mawazo mengine yaliyotolewa kabla ya hii ipo" unaona mtu kasema "hili tushalijadili hapa, usilirudie".

Mimi sikumaanisha "hili tushalijadili hapa, usilirudie" kwa sababu naelewa hatujapewa kurasa mbili kwamba tuogope tutazimaliza.

Na ndio maana sikuona hiyana kurudia kulijadili, kwa sababu ni muhimu. Wewe ambaye unachukua the most negative of any interpretation hilo ni tatizo lako, si langu.


Talking as if unamsuta aliyeleta mada.

Mule mule nilipoona, kama nilivyosema hapo juu. Mtu akisema "hili tushalijadili hapa" kwa maana ya kuonyesha kwamba tayari kuna another thread that could be referred to, mtu mwenye "kutoka Pabaya" kashafundishwa toka huko alikotoka kwamba hapa anasutwa mtu.

Comprehension please. We don't need that malicious myopia.

Yeye bila shaka sio Mtaalam wa madawa kama wewe, namuombea msamaha kwako mheshimiwa mjuvi wa kila kitu.

Mjuvi wa kila kitu hawezi kutaka majaribio kabla ya kuruka katika conclusion kwamba "dawa imepatikana".

Mjuvi wa kila kitu ni yule anayesema "dawa imepatikana" bila hata kumaliza muda wa majaribio. Majaribio ya nini wakati yeye mjuvi wa kila kitu?

Sasa sijui hii unamuaddress nani, mtengeneza dawa au sisi tunaochangia.

Wote wanaosema na kukubali "dawa imepatikana" wakati watengeneza dawa wenyewe wanasema wanahitaji miaka mitano ya kufanya majaribio.

Kitu kimoja nilichokiona cha hatari hapa ni kwamba, kuwa na mwanamke wa dizain yako kama mke ni janga. Kiherehere cha namna hii sio haiba ya kike. Yaani umefikia kiwango cha kiherehere cha kudhania kwamba, kama sisi hatujui hata mtengeneza dawa hajui. Kwa hiyo ww ndio una akili saaana kiasi cha kuona hamna haja ya kujisumbua, ni kukaa tu chini na kukubali matokeo kwa kuwa microbes are not static?!!!

Kati aya mimi ninayesema huwezi kukubali "dawa imepatikana" kabla ya majaribio na wanaosema "dawa imepatikana" wakati watengeneza dawa wanasema wanahitaji miaka mitano ya majaribio, nani ana kiherehere?

Nilifikiri umegundua wewe, kumbe wao hao hao. Enhe, kwa hiyo hii inahusianaje na ukimwi labda?

Linahusianaje na UKIMWI labda au linahusianaje na UKIMWI? Unajua unachouliza?

Concept nzima ya dawa imebadilika, it is a Hegelian dialectic. Unapomaliza trial miaka mitano na kusema "nimepata dawa" kikwelikweli sasa (sio kurukia treni kwa mbele kama mnavyofanya nyie) unaambiwa kuna strain nyingine mpya ya HIV Thailand huko, hai respond kwa dawa yako. Inabidi urudi tena lab.

So if you were celebrating "dawa ya UKIMWI imepatikana" hata kabla ya five years of trials, put down the champagne bottle.

Una laana ya majisifu wewe sio bure.

Hapana, usinishushe. Majisifu ndo yana laana yangu /s

Yaani unataka kuniambia maabara zooote duniani zinazohangaika kutafuta tiba ya UKIMWI hawana akili wewe ndio unajua saana kuwa ukimwi sio kitu kimoja?

Wapi nimesema hivyo?

Hili uliligundua wewe au hao hao wanaotafuta tiba?

How is that relevant? You are avoiding the relevant question, which is whether that is so or not. Great mind discuss ideas, in discussing people you are distinguishing yourself as mediocre at best.

Mimi naona kuanzia sasa 'relaible' source yangu ni wewe manake unajua sana kuliko hata hao watengeneza dawa.

Usinishushe, najua kuliko watengeneza watengeneza dawa /s

Leo umenifumbua macho kuwa HIV si kitu kimoja kwa hiyo yeyote anayesema amepata dawa yake ni mwehu.

We are not talking about penicillin here, the entire concept of "dawa" has evolved into a Hegelian dialectic.

Nikushukuru pia kwa kuipatia dunia tiba ya Tauni, TB, Smallpox, Chickenpox, Malaria na Kaswende. Naamini kwamba, ni uzoefu ulionao wa kuipatia dawa dunia ndio umekupa nafasi ya kuona kwamba hakuna mwingine anayeweza kuipatia dunia tiba ya ukimwi ikiwa wewe umeshagundua kuwa 'zis maikrobs aa not statik'.

Umesahau kuongeza kukibwa zaidi tiba ya ujinga wa kumeza jumla jumla headlines za Mwananchi.
 

Hata kwa Babu wa Loliondo watu walijihakikishia kuwa anaponyesha na wengine wakajiongezea matumaini kumbe!
Muhimu watu waache tabia mbaya iliyojengeka ya zungushana wapenzi.Unakuta mtaa mmoja kila mmoja ameshalala na mwengine .Toka waliooa mpaka mabachela.

Ndungu na kuambia ukiweza kushinda Tamaa habari ya Ukimwi utaisikia kwa watu mpaka unaenda kaburini.


Tatizo kubwa si Uwepo wa Ukimwi bali Tabia za Kishetani ya wanawake na Wanaume kuwa na tamaa za Mwili na Vitu.
 
Fact gani ya Mwananchi?

Miaka mitano si mingi kwa hiyo HIV haiwezi ku develop a different strain katika miaka mitano?

Akili za chuoni hizi, ukiambiwa kitu na pro mara mbili tatu unajenga mkichwa mkuuubwa na kudhania wewe ndio unajua zaidi ya Newton.

Toleo la kwanza kabisa la Chloroquine lililazimu mtu kumeza vidonge vingi sana ili apone. Kadiri muda unavyoenda maboresho yalifanywa na matoleo kadhaa yakafuata. Miaka imepita, tukatangaziwa kuwa Chloroquine haitibu tena Malaria, tukapatiwa mbadala na maisha yanaendelea.

Computer ya kwanza ilikuwa kubwa ikajaa chumba kizima na mafeni yakafungwa kuipooza. Leo maendeleo ya sayansi yameiweka computer kiganjani. Ile ya kwanza itabakia kuwa ya kwanza, na huo ndio mtindo wa mavumbuzi.

Ndege ya kwanza ilikuwa wazi, uchi kabisa na aliyeipanda alikuwa nje tu na helmet yake. Leo unakaa ndani unaangalia video na kiyoyozi.

Haya unayoyaongea kwa wasiwasi wao wanayajua. Weka tofauti sayansi ya mavumbuzi na sayansi ya mazungumzo hii ulionayo wewe. Kama ilipatikana dawa ikafubaza virusi, basiitapatikana tu ya kuviua ni suala la wakati. Acha kiherehere!
 
Akili za chuoni hizi, ukiambiwa kitu na pro mara mbili tatu unajenga mkichwa mkuuubwa na kudhania wewe ndio unajua zaidi ya Newton.

Toleo la kwanza kabisa la Chloroquine lililazimu mtu kumeza vidonge vingi sana ili apone. Kadiri muda unavyoenda maboresho yalifanywa na matoleo kadhaa yakafuata. Miaka imepita, tukatangaziwa kuwa Chloroquine haitibu tena Malaria, tukapatiwa mbadala na maisha yanaendelea.

Computer ya kwanza ilikuwa kubwa ikajaa chumba kizima na mafeni yakafungwa kuipooza. Leo maendeleo ya sayansi yameiweka computer kiganjani. Ile ya kwanza itabakia kuwa ya kwanza, na huo ndio mtindo wa mavumbuzi.

Ndege ya kwanza ilikuwa wazi, uchi kabisa na aliyeipanda alikuwa nje tu na helmet yake. Leo unakaa ndani unaangalia video na kiyoyozi.

Haya unayoyaongea kwa wasiwasi wao wanayajua. Weka tofauti sayansi ya mavumbuzi na sayansi ya mazungumzo hii ulionayo wewe. Kama ilipatikana dawa ikafubaza virusi, basiitapatikana tu ya kuviua ni suala la wakati. Acha kiherehere!

Bottom line kusema kwamba "dawa ya UKIMWI imepatikana" wakati "dawa" yenyewe haijapita hata process ya majaribio ya miaka mitano ni kukurupuka.

Moja ya misingi ya muhimu kabisa katika sayansi ni kwamba hufanyi conclusion kabla ya kumaliza majaribio.

Unamaliza majaribio kwanza ndo unafanya conclusion kama dawa imepatikana au haijapatikana. Inawezekana "dawa" si dawa.

"Dawa" sumu.
 
Hata hapa kwe2 namdimba kuna mama amegundua majani yanayosadikika kutibu maradhi mbali mbali sugu pamoja na UKIMWI but there's no scientific proof.
 
Hili tushalijadili hapa kabla halijaandikwa Mwananchi.

Katika miaka mitano hiyo hizo strains zote za UKIMWI zitakaa tu zinawasubiri nyie na hiyo dawa yenu?

What you do not understand here is that these microbes are not static, they are ever evolving.

Washagundua kuna mbu huko Thailand anaeneza strain ya Malaria ambayo hai respond kwa madawa makali kabisa tuliyo nayo ya Mlaria.
UKIMWI au hata HIV si kitu kimoja kilicho static useme umeshakipatia tiba.

Ni virusi tofauti vinavyo evolve bila kutabirika.

So at best this is a cat and mouse game.

Sorry to burst your bubble.

Halafu usiamini hayo magazeti ya kibongo vichwa vya habari vikuubwa wanataka kuuza copies tu, fuata relaible sources uone challenges halisi zilizopo.

Kuna swali la kipuuzi umeuliza eti ni wapi umesema kwamba maabara zote wanaofanya utafiti wa tiba ya ukimwi ni wajinga. Huna haja ya kusema directly, hizo red zinamaanisha hivyo, hususan hapo nilipopigia mstari.

Na ndio nikakueleza kuwa wewe una kiherehere. Tiba zooote zilizovumbuliwa zilikumbana na changamoto. Na hata hao hawajatangaza biashara ya dawa, wamezungumzia tu development ya utafiti wao, lkn wewe unayejifanya ujuaji umekuja na kukosoa eti haitawezekana kwa kuwa microbes sio static, ndio nikakuuliza kwa hiyo wanaofanya utafiti hawajui kuwa microbes sio static au ni wajinga?

Acha kiherehere!
 
Kuna swali la kipuuzi umeuliza eti ni wapi umesema kwamba maabara zote wanaofanya utafiti wa tiba ya ukimwi ni wajinga. Huna haja ya kusema directly, hizo red zinamaanisha hivyo, hususan hapo nilipopigia mstari.

Na ndio nikakueleza kuwa wewe una kiherehere. Tiba zooote zilizovumbuliwa zilikumbana na changamoto. Na hata hao hawajatangaza biashara ya dawa, wamezungumzia tu development ya utafiti wao, lkn wewe unayejifanya ujuaji umekuja na kukosoa eti haitawezekana kwa kuwa microbes sio static, ndio nikakuuliza kwa hiyo wanaofanya utafiti hawajui kuwa microbes sio static au ni wajinga?

Acha kiherehere!

Kama kawaida, linking the unlinkables.

Mimi maandiko yangu yote yanazunguka concept nzima ya "dawa ya UKIMWI imepatikana". Kitu ambacho hakijasemwa na hao wanasayansi, kwa sababu bado wako katika majaribio.

My ire is towards the misleading Mwananchi headline.

But I know you will never get that through your head, and even if you will, you have a penchant for being the anti-pope.
 
Bottom line kusema kwamba "dawa ya UKIMWI imepatikana" wakati "dawa" yenyewe haijapita hata process ya majaribio ya miaka mitano ni kukurupuka.

Moja ya misingi ya muhimu kabisa katika sayansi ni kwamba hufanyi conclusion kabla ya kumaliza majaribio.

Unamaliza majaribio kwanza ndo unafanya conclusion kama dawa imepatikana au haijapatikana. Inawezekana "dawa" si dawa.

"Dawa" sumu.

UKIMWI au hata HIV si kitu kimoja kilicho static useme umeshakipatia tiba.


Kwani maneno haya hukusema wewe? Hapa ulikuwa unaongelea wakati muafaka wa kufanya conclusion au uwezekano wa jumla?

Hiki ni kiherehere tu, hamna la zaidi. Ni kupenda kujifanya mjuvi zaidi wa walioko maabara.
 
Kama kawaida, linking the unlinkables.

Mimi maandiko yangu yote yanazunguka concept nzima ya "dawa ya UKIMWI imepatikana". Kitu ambacho hakijasemwa na hao wanasayansi, kwa sababu bado wako katika majaribio.

My ire is towards the misleading Mwananchi headline.

But I know you will never get that through your head, and even if you will, you have a penchant for being the anti-pope.

UKIMWI au hata HIV si kitu kimoja kilicho static useme umeshakipatia tiba.

Kwa hiyo hapa ulikuwa unakanusa kauli ya mwananchi?
 
UKIMWI au hata HIV si kitu kimoja kilicho static useme umeshakipatia tiba.


Kwani maneno haya hukusema wewe? Hapa ulikuwa unaongelea wakati muafaka wa kufanya conclusion au uwezekano wa jumla?

Hiki ni kiherehere tu, hamna la zaidi. Ni kupenda kujifanya mjuvi zaidi wa walioko maabara.

Kiherehere wanacho hao wanaosema wamepata dawa ya UKIMWI kabla ya majaribio, na wewe unayetetea ujinga huo.

Sio mimi ninayeonyesha kunahitajika a paradigm shift katika sayansi ya tiba, enzi ya "dawa" kama penicillin ishapita.
 
UKIMWI au hata HIV si kitu kimoja kilicho static useme umeshakipatia tiba.

Kwa hiyo hapa ulikuwa unakanusa kauli ya mwananchi?

Mwananchi wameandika headline dawa imepatikana, mimi sio tu napinga (sio kukanusha, kuna tofauti) headline ya Mwananchi.

Napinga approach nzima ya "silver bullet pill".
 
Kwa hili tutegemee wafuasi wa Kibwetele wakutosha.
 
Kiherehere wanacho hao wanaosema wamepata dawa ya UKIMWI kabla ya majaribio, na wewe unayetetea ujinga huo.

Sio mimi ninayeonyesha kunahitajika a paradigm shift katika sayansi ya tiba, enzi ya "dawa" kama penicillin ishapita.

Acha kuzungukazunguka, nipe jibu straight: UKIMWI au hata HIV si kitu kimoja kilicho static useme umeshakipatia tiba. Ukosoaji huu ulikuwa dhidi ya gazeti la mwananchi au dhidi ya concept kwamba tiba ya ukimwi yawezekana?
 
Acha kuzungukazunguka, nipe jibu straight: UKIMWI au hata HIV si kitu kimoja kilicho static useme umeshakipatia tiba. Ukosoaji huu ulikuwa dhidi ya gazeti la mwananchi au dhidi ya concept kwamba tiba ya ukimwi yawezekana?

Nishakujibu hapo juu kirefu, kama una matatizo ya uelewa ni yako. I am not responsible for that.
 
Mwananchi wameandika headline dawa imepatikana, mimi sio tu napinga (sio kukanusha, kuna tofauti) headline ya Mwananchi.

Napinga approach nzima ya "silver bullet pill".

Good! Kwenye post yako ya kwanza kwenye uzi huu, ulisema kwamba hii mada mlishaijadili hapo kabla. Mliijadili baada ya mwananchi kuandika au mlijadili juu ya uwezekano wa tiba ya ukimwi kupatikana?

Silver Bullet Pills nazozifahamu mimi ni Male Libido Enhancement Pills, zinahusianaje na mambo tunayoongea hapa kuhusu uwezekano wa kupatikana tiba ya ukimwi?
 
Good! Kwenye post yako ya kwanza kwenye uzi huu, ulisema kwamba hii mada mlishaijadili hapo kabla. Mliijadili baada ya mwananchi kuandika au mlijadili juu ya uwezekano wa tiba ya ukimwi kupatikana?

Uliza thread upewe uangalie mwenyewe, naweza kukupa jibu la kujipendelea.

Silver Bullet Pills nazozifahamu mimi ni Male Libido Enhancement Pills, zinahusianaje na mambo tunayoongea hapa kuhusu uwezekano wa kupatikana tiba ya ukimwi?

Obviously unabishana katika vitu usivyovielewa, hata an offhand reference to a cure-all solution escapes you, sasa nitategemeaje uwe na umakini wa kuelewa kwamba "dawa" si dawa kama haijapita majaribio?

Kwa faida yako ili upanue mawazo na kuweza ku interpret "silver bullet" in a broader sense ona hapa chini.

http://en.wikipedia.org/wiki/Silver_bullet
 
Uliza thread upewe uangalie mwenyewe, naweza kukupa jibu la kujipendelea.

Obviously unabishana katika vitu usivyovielewa, hata an offhand reference to a cure-all solution escapes you, sasa nitategemeaje uwe na umakini wa kuelewa kwamba "dawa" si dawa kama haijapita majaribio?

Kwa faida yako ili upanue mawazo na kuweza ku interpret "silver bullet" in a broader sense ona hapa chini.

Silver bullet - Wikipedia, the free encyclopedia

The term has been adopted into a general metaphor, where "silver bullet" refers to any straightforward solution perceived to have extreme effectiveness.

Hiki ndio nilichopata kwenye wikipedia, fine. Unafikiri lilikuwa jambo sahihi utumia misamiati iliyo nje ya mazingira yetu ikiwa lengo lako lilikuwa nikuelewe? Nachoona hapa ni muendelezo wa yale yale maradhi ya kupenda sifa. Fine with tha, let it pass.

Ikiwa ulipinga approach nzima, ina maana una ukosoaji wao unajenga dhana kwamba ''Hauna uwezekano wa tiba ya ukimwi kupatikana'' na kudhihirisha hilo ndio ukaandika UKIMWI au hata HIV si kitu kimoja kilicho static useme umeshakipatia tiba na ukaongezea kwambaWhat you do not understand here is that these microbes are not static, they are ever evolving.

Swali langu hapa ni kwamba, ambao hawajui kuwa 'microbes are not static' ni sisi tunaosoma mwananchi au hao wavumbuzi?

Kwa mtizamo huo unaoanikizwa na hizo kauli zako mbili, unaona kwamba dawa ya ukimwi haiwezi kupatikana kwa kuwa microbes sio static au?
 
The term has been adopted into a general metaphor, where "silver bullet" refers to any straightforward solution perceived to have extreme effectiveness.

Hiki ndio nilichopata kwenye wikipedia, fine.

Shukuru kwa kuhabarishwa.

Unafikiri lilikuwa jambo sahihi

Sahihi kwa nani?

utumia misamiati

Misamiati gani? Kwa nani? Silver bullet ni msamiati? Ningeweka some quaint latin au Nostradamic quatrain with Rabelaisian in-jokes ungesemaje sasa?

iliyo nje ya mazingira yetu

"Yetu" unakusudia nani? Quit being inexplicably collectivist.

ikiwa lengo lako lilikuwa nikuelewe?

Unajuaje kama lengo langu lilikuwa unielewe? there you go again with your ready assumptions. Unajuaje kwamba lengo langu ni kukuchallenge usinielewe mpaka uongeze masamiati kwanza? Mpaka uelewe maana ndefu ya "silver bullet" kwanza na kuelewa "paradigm shift" ni nini na concept nzima ya drug resistance inavyotoa challenge kwenye tiba kiasi kwamba hatuwezi kusema "tumepata dawa" kama enzi za penicillin?

Nachoona hapa ni muendelezo wa yale yale maradhi ya kupenda sifa. Fine with tha, let it pass.

Kushabikia upumbavu wa "dawa imepatikana" bila majaribio ni kutaka sifa zaidi.

Ikiwa ulipinga approach nzima, ina maana una ukosoaji wao unajenga dhana kwamba ''Hauna uwezekano wa tiba ya ukimwi kupatikana''
Unaweza kuandika hivi kama una utapiamlo wa akili.
na kudhihirisha hilo ndio ukaandika UKIMWI au hata HIV si kitu kimoja kilicho static useme umeshakipatia tiba na ukaongezea kwambaWhat you do not understand here is that these microbes are not static, they are ever evolving.

Swali langu hapa ni kwamba, ambao hawajui kuwa 'microbes are not static' ni sisi tunaosoma mwananchi au hao wavumbuzi?

Nishakujibu hapo juu, rudia kusoma, ama rudi shule usome somo la comprehension.

Kwa mtizamo huo unaoanikizwa na hizo kauli zako mbili, unaona kwamba dawa ya ukimwi haiwezi kupatikana kwa kuwa microbes sio static au?

Hatuhitaji dawa tu - ambayo hatuna in the first place-, tunahitaji a paradigm shift in medicine. A sort of escape velocity from the current mire of drug resistance. At this point tukipata dawa in 5 years it is only a matter of time before another strain of HIV will develop resistance, a cat and mouse game.
 
Back
Top Bottom