Kanunue oil chafu .....nenda kapake vizuri kabisa wakirudia tena Kula hapo kuna mkono WA MTU........kwenye vile vitobo vyao imimine kabisa utakuja kureta mrejesho........maana kuna fundi aliwai kuniingiza chaka kwenye gypsum nikaweka ambazo sio treated ,mbona zoezi lilifanyika mpaka wakaacha kutafuna maaana nilipaka oil Kira weekend siendi popote nipo nao tunaoneshana mahaba Niue .......SASA hivi kimyaaa sijui kafa kiongozi wao........maana wakitafuna hata kidogo Tu napaka Kira sehemu narudia rudia ......mpaka SASA hivi kimyaaaaaa....hakuna anayethubutu