Dawa ya wadudu wanaokula mbao ni ipi?

Dawa ya wadudu wanaokula mbao ni ipi?

Uyo mdudu ni hatar sana. ila dawa yake ni ya kijinga sana[emoji847] dawa yake ni mafuta ya taa tu bas. mwagia mafuta ya taa sehemu unayohis yupo, atakufa ndani sekunde mbili tu, mafuta ya taa ni sumu kwa wadudu wote.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli, ila shida ikiwa nyumba umeshaezeka tayari, kunawadudu wengine matundu yao hayaonekani, labda uwe na kifaa cha ku-splay.
 
Maji ya moto sana mwagia kwenye mbao yenye mdudu, hutaona tena, rudia baada ya mwezi mmoja, hutawaona tena, iwe mdudu wa mbao au hata Kunguni, papasi maji ya moto kabisa ndio dawa yao ya milele, kisha kausha godoro au mbao juani.

Chemsha maji lita 15 au 20 yakichemka kabisa, anza kuchota unamwagia kwenye mbao za kitanda, au godoro au coach, watakufa wote kabisa, alafu weka juani, fanya kazi hii mapema saa 2 hv asubuhi ili uanike juani.
 
Salaam,

Kichwa cha habari cha husika, nilinunua mbao nikaezeka na nishafunga gypsum lakini kuna wadudu wanapekecha mbao usiku ni kelele.

Naombeni msaada ni dawa gani ninunue nipande juu nikaspray maana vifaa ninavyo.
 
Wakija nami nitapata msaada hapa
Salaam,
Kichwa cha habari cha husika, nilinunua mbao nikaezeka na nishafunga gypsum lakini kuna wadudu wanapekecha mbao usiku ni kelele.
Naombeni msaada ni dawa gani ninunue nipande juu nikaspray maana vifaa ninavyo
 
Salaam,
Kichwa cha habari cha husika, nilinunua mbao nikaezeka na nishafunga gypsum lakini kuna wadudu wanapekecha mbao usiku ni kelele.
Naombeni msaada ni dawa gani ninunue nipande juu nikaspray maana vifaa ninavyo
Kwa kweli sina uhakika ila kwa mfano ukitumia ile Dudu Killer ni ufanye kuispray itakuwaje?
 
Ushauri wajenzi wapya. Nunua soft woods zilizokomaa vizuri na zilizochemshwa na dawa vizuri.

Mbao laini ukiezekea ambazo hazijakingwa kwa dawa ya bunguzi utaimba alelele mapema sana.

Hata mbao zilizo na dawa si zote dawa imeingia vizuri ndani...wapo watu wanaopaka dawa kwa brush haisaidii kanunue mbao kwa dealers kv SaoHill ubao umepikwa na dawa ukaiva.
 
Ushauri wajenzi wapya. Nunua soft woods zilizokomaa vizuri na zilizochemshwa na dawa vizuri.

Mbao laini ukiezekea ambazo hazijakingwa kwa dawa ya bunguzi utaimba alelele mapema sana.

Hata mbao zilizo na dawa si zote dawa imeingia vizuri ndani...wapo watu wanaopaka dawa kwa brush haisaidii kanunue mbao kwa dealers kv SaoHill ubao umepikwa na dawa ukaiva.
Ushauri wako mzuri ila sio mzuri sana.

USHAURI MZURI ILIBIDI UWAAMBIE WATUMIE WATAALAMU NA SIO KUTAFUTA SHORTCUTS.

Kuna sababu kwanini mainjinia wanasoma 4yrs chuoni na ma architect wanasoma 5yrs!
 
Salaam,

Kichwa cha habari cha husika, nilinunua mbao nikaezeka na nishafunga gypsum lakini kuna wadudu wanapekecha mbao usiku ni kelele.

Naombeni msaada ni dawa gani ninunue nipande juu nikaspray maana vifaa ninavyo.

Tafuta dawa ya kahawa inaitwa DDT ni kali sana ukichovya pamba kwenye hiyo dawa alafu ukaiwwka hapo kwenye shino la huyo mdudu anakufa.

Nadhani hii dawa ilivyokali harufu ndio inauwa.
 
Ushauri wajenzi wapya. Nunua soft woods zilizokomaa vizuri na zilizochemshwa na dawa vizuri.

Mbao laini ukiezekea ambazo hazijakingwa kwa dawa ya bunguzi utaimba alelele mapema sana.

Hata mbao zilizo na dawa si zote dawa imeingia vizuri ndani...wapo watu wanaopaka dawa kwa brush haisaidii kanunue mbao kwa dealers kv SaoHill ubao umepikwa na dawa ukaiva.
Nilinunua mbao nikaambiwa ni treated ila sikuziamini sana, nikanunua dawa nikaziloweka then ndipo nikapaua leo ni miaka 4 hakuna mdudu amesogea. Mbao za Sao hill ni nzuri sana maana ni za viwango vya juu tatizo wengi tunashindwa maana ni gharama juu kuliko wauzaji wengine.
 
Nilinunua mbao nikaambiwa ni treated ila sikuziamini sana, nikanunua dawa nikaziloweka then ndipo nikapaua leo ni miaka 4 hakuna mdudu amesogea. Mbao za Sao hill ni nzuri sana maana ni za viwango vya juu tatizo wengi tunashindwa maana ni gharama juu kuliko wauzaji wengine.
Sorry mdau naomba jina la hiyo dawa please
 
Ni vizuri uwatafute watu wa fumigation mkubaliane bei wakufanyie kazi kwa weledi mzuri
 
Sorry mdau naomba jina la hiyo dawa please
Mkuu jina la dawa silikumbuki ila nenda pale Tazara kwa wauza mbao waulizie watakupa maelekezo maana mimi nilienda pale nikaweka oda nikainunua niliambiwa huwa zinatoka Iringa kwa wauzaji wakubwa wa mbao na ambao hutibu mbao zao vizuri, au nadhani pia ukienda buguruni au tegeta utazipata cha msingi nenda kwenye centre kubwa za wauza mbao na ongea na wauza mbao mbalimbali
 
Back
Top Bottom