mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Anafananaje? Kwa kingereza anaitwaje nimgoogle nimjue?
sio mmoja wako aina nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafananaje? Kwa kingereza anaitwaje nimgoogle nimjue?
Anaitwa carpenter beeAnafananaje? Kwa kingereza anaitwaje nimgoogle nimjue?
Kuna yule ananguruma kama mashine hayupo hapa kwenye picha yako anaitwa carpenter bee ukisikia hiyo sauti yake ujue mbao zako zinaisha hapo kuna chainsaw iko bizesio mmoja wako aina nyingi.View attachment 1898321
sio mmoja wako aina nyingi.View attachment 1898321
Huyo mdudu anakuwa kama kiroboto,Anafananaje? Kwa kingereza anaitwaje nimgoogle nimjue?
Negative..sio mmoja wako aina nyingi.View attachment 1898321
Uliwezaje kumteketeza bila kuvunja mbao maana mm nikisema nivunje ni fenicha zote.Huyo mdudu anakuwa kama kiroboto,
Akishaingia ndani ya mbao,anakuwa funza mkubwa tu.
Nilimshuhudia Mara kadhaa baada ya kuvunja eneo la mbao lililoathirika kwa kuliwa..
Ni.kiroboto ambaye hugeuka funza.
Nimepaka diesels fenicha zangu na haijasaidia mkuu ulitupotosha.Ipake yote tu, unaweza pia kutumia syringe vuta diesel dunga kwenye tundu
Nilivunja mbao mkuu,Uliwezaje kumteketeza bila kuvunja mbao maana mm nikisema nivunje ni fenicha zote.
Aiseee sio mchezo, wamenifanya nimechanganyikiwa. Ingekuwa ni just one fenicha ningeitupa kabisaNilivunja mbao mkuu,
Ndy nikapata nafasi ya kumuona.
Ni funza mkubwa...
Ila akiingia anakuwa ktk hali ya kiroboto kinachotambaa..
Jaribu kuwapulizia HIT watakufaHabari wana JF
Nimetoka kumtembelea ndugu yangu kwa bahati mbaya dari lake lina shambuliwa na mdudu ambaye anapiga kelele kama msumeno. Nilishtuka kidogo na huyo mdudu naambiwa anachoronga mbao within short time unakuta unga unga hivi. Je dawa ya huyo mdudu ni ipi, tafadhali hili ni jambo la kufa na kupona.
Dawa ni kuvunja mbao tu..mkuu,Aiseee sio mchezo, wamenifanya nimechanganyikiwa. Ingekuwa ni just one fenicha ningeitupa kabisa
Si kweli, wakishaingia ndani ya mbao hakuna unachoweza fanya. Labda utoe mbao kama mdau alivyosema hapo. Mimi nimejaribu diesel lakini wapo hai wanapiga mzigo.Jaribu kuwapulizia HIT watakufa
Azibe shimo na kipande cha sabuniIli asiingie huwa tunapaka oil chafu,sasa keshaingia sina uhakika kama oil inaweza kumtoa,jaribu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu labda walikuwekea sembe kwenye kochi kukubambikizia kesi ya madawa
Kupunguza gharama Mkuu. Lita 5 = 50,000/=. Oil chafu ni bure!Oil chafu ni rangi tu. Lakini kitu cha msingi ni oil, oil hukata ngozi ya mdudu kwa sababu imeumbika kwa plastic maalumu ambayo haipendi kitu oil, ikigusa oil hujikunyata na kuoza. Hivyo humfanya mdudu kufa kwa maumivu makali.
Hata mm nilimuona ni mweupe au kama rangi ya manjano iliyopauka hivi. Anakuwa mkubwa tofauti na funza hizi za kawaida yy anakaribia ukubwa wa kidole cha mwisho.Nilivunja mbao mkuu,
Ndy nikapata nafasi ya kumuona.
Ni funza mkubwa...
Ila akiingia anakuwa ktk hali ya kiroboto kinachotambaa..
Hakika mkuu,,Hata mm nilimuona ni mweupe au kama rangi ya manjano iliyopauka hivi. Anakuwa mkubwa tofauti na funza hizi za kawaida yy anakaribia ukubwa wa kidole cha mwisho.
I did it ikafanya labda kama wadudu wanatofautiana toka sehemu hadi sehemuNimepaka diesels fenicha zangu na haijasaidia mkuu ulitupotosha.
Hata mm nilimuona ni mweupe au kama rangi ya manjano iliyopauka hivi. Anakuwa mkubwa tofauti na funza hizi za kawaida yy anakaribia ukubwa wa kidole cha mwisho.