Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafuta ya taa yanapenya ila yanakwisha nguvu harakaMafuta ya taaa ntajaribu
Diesel naipaka kwenye mbao yote au natafuta tundu walipo??Mafuta ya taa yanapenya ila yanakwisha nguvu haraka
Ipake yote tu, unaweza pia kutumia syringe vuta diesel dunga kwenye tunduDiesel naipaka kwenye mbao yote au natafuta tundu walipo??
Okay sawa nitafanya hiyo kazi kesho nioneIpake yote tu
Oil ilio tumika ni tiba nzuri, japo mafundi wanakwepa kwa kuchafua nguo. Zipake mbao kabla ya kuzitumia.Hahaha acha utani. Toa tiba mkuu.
-Kaveli-
Aisee na mimi nitajaribu wadudu wanamaliza furniture ndani 😩😩😩😩Ipake yote tu, unaweza pia kutumia syringe vuta diesel dunga kwenye tundu
Hii ya makochi hadi kwangu.. nasubiri solution hapa
Paka oil chafu kwa wingi. Asipake kidogo. Then wataacha.
Kwangu ime work out. Japo nimeweka oil nyingi sana. Dawa wanazouza madukani kwangu ziligoma. It coasted me kama laki 2 kununua dawa wakatulia kwa mda mfupi then within short period wakarudia kuharibu.
But baada ya kuweka oil chafu nyingi mpaka ikavuka kwenye gipsum hatimaye wametulia. Jaribu na wewe
izo furniture umechimbia chini??Aisee na mimi nitajaribu wadudu wanamaliza furniture ndani [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Hapana ni makochi na kabati za kawaida, sielewi walitoka wapi hawa wadudu. Maana nyumba yote ina tiles.izo furniture umechimbia chini??
It seems ili tatizo lipo kwa watu wengi na solution yake ni nadra.Hii ya makochi hadi kwangu.. nasubiri solution hapa
Oil chafuHabari wana JF
Nimetoka kumtembelea ndugu yangu kwa bahati mbaya dari lake lina shambuliwa na mdudu ambaye anapiga kelele kama msumeno. Nilishtuka kidogo na huyo mdudu naambiwa anachoronga mbao within short time unakuta unga unga hivi. Je dawa ya huyo mdudu ni ipi, tafadhali hili ni jambo la kufa na kupona.
Kesi yako ni kama yangu niliamia nikakuta anakula mlango mmoja baadae ndio akaamia kwenye vitu vyangu.Nakumbuka nilihamiaga getto moja mabibo huyo mdudu alikua anakula mlango,with in few weeks nikaanza kumsikia anatafuna kabati langu la vitabu.
Aisee aliliharibu sana na anatembea ndani kwa ndani,nilikuja kuvunja ule upande wa kabati nikatoa ule ubao fundi akaweka mwingine ndo pona yangu,ila kitanda changu mninga alishindwa kutoboa.
Kwenye dari hapo fata ushauri wa oil chafu au mafuta ya taaa.
Anafananaje? Kwa kingereza anaitwaje nimgoogle nimjue?Tunamuita bulumuzi huyo jamaa anaetoboa mbao.Hivi kuna yeyote amewahi kusikia case ya mtu kung'atwa na huyo kiumbe?