Ok poa mkuuI did it ikafanya labda kama wadudu wanatofautiana toka sehemu hadi sehemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok poa mkuuI did it ikafanya labda kama wadudu wanatofautiana toka sehemu hadi sehemu
Ampulizie Rungu, ile dawa ya mbu, au brand nyingine yoyote ya spray inayoua wadudu ili mradi iwe ni ile kaliHabari wana JF
Nimetoka kumtembelea ndugu yangu kwa bahati mbaya dari lake lina shambuliwa na mdudu ambaye anapiga kelele kama msumeno. Nilishtuka kidogo na huyo mdudu naambiwa anachoronga mbao within short time unakuta unga unga hivi. Je dawa ya huyo mdudu ni ipi, tafadhali hili ni jambo la kufa na kupona.
Dudu killer haiwezi saidia kama ni wale wanaopenya bila kutoboa mbao.Kuna jamaa aliniuzia kitanda pale mpakani, wale wanouza vitanda pale mpakani,
Sasa nimekaa nako mwaka sasa ndio nasikia hizo kelele, nikamuliza akaniambia niende kwenye duka la hardware niulizie dawa inaitwa dudu killer nafikiri.
Nitaenda itafuta nitawapa mrejesho.
Ipi kiongozi itasaidia?Dudu killer haiwezi saidia kama ni wale wanaopenya bila kutoboa mbao.
Hawa wadudu ni baraa wanaouwezo wa kula paa lote la nyumba, utakachosikia ni pale wakikwangua ubao kwa ndani na kutoa unga waliotafuna!!! Wanashambulia mbao changa na all softwoods!!!Si kweli, wakishaingia ndani ya mbao hakuna unachoweza fanya. Labda utoe mbao kama mdau alivyosema hapo. Mimi nimejaribu diesel lakini wapo hai wanapiga mzigo.
Mimi mpaka leo nmekosa siluhisho nimeuza tu baadhi ya furniture nikanunua mpya. Kwa sababu nyumba ni ya kupanga wa kwenye dali atadili nao mwenye nyumba mimi nitahama.Ipi kiongozi itasaidia?
Mninga hawali? Maana nilitengeneza kitanda cha mninga ila nimeanza kumsikia. Au anakula chaga?Hawa wadudu ni baraa wanaouwezo wa kula paa lote la nyumba, utakachosikia ni pale wakikwangua ubao kwa ndani na kutoa unga waliotafuna!!! Wanashambulia mbao changa na all softwoods!!!
IDO fuelNa mimi naomba anayefahamu dawa nzuri na ya uhakika ya kuua viroboto.
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Hatimaye nimewaona hawa wadudu na ni kweli wanaanzia kama funza kisha wanakuwa hivi baadae. Nimewaua kama 5 hivi, nimelala nashaangaa wadudu wanaruka ndani kwangu, nikajiulizia hawa wadudu wamepita wapi nyumba haina sehemu ya kupitisha wadudu na madirisha ni kioo.sio mmoja wako aina nyingi.View attachment 1898321
🤫It coasted???? Duh! Hiyo ndiyo english ya shule za kamchape!
Kadudu flani kaajabu. Anafanana na mbao.Anafananaje? Kwa kingereza anaitwaje nimgoogle nimjue?
ngja nkajalibu hii showcase yngu wanaishambulia sana nlishapulizia dawa y mbu ila ckusiba bdo wanaendelea tuMtakuwa Mmejengea kwa Mbao za Kula... sasa Mdudu ataachaje Kula...
Wekeni Mininga au Milingoti hailiki even Mchwa wanavunja tu meno yao
Kwenye Matundu mule pulizia dawa ya Mbu kisha ziba vitundu kwa Chelewa au kijiti kigumu Mdudu hufia humo humo kila ukisia mlio Tafuta vitundu Pulizia spray ya Mbu Dudu Killer