samakiurembo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 445
- 689
Weww umepima??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well that's not the point the point here ni kwamba kama kweli wana nia nzuri kwa kuleta dawa kwanini wasilete ya kutibu kwa mala mojaUjinga nacho ni kipaji. Wewe waka halafu usitumie dawa.
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Brother ukiamka salama na kulala salama shukuru Mungu, ila uwe unatenga siku kwenda kutembelea wagonjwa hospitali wasiojiweza, kuna kitu utajifunzaHabarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia hizo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa.
Kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.
Kwani ngozi nyeusi ndioo wanapenda ngono sana?
JidanganyeNani aliekuambia usipokunywa ARV ndio utajionesha?
Concept ni kinga na sio ugonjwa
Unajua kazi za ARV
IKIWA UTAFUATA KANUNI NA MLO MAMILI WALA HIZO HAZINA KAZI
Na wengi wao wanajifanya madaktari kuwaaminisha wenzao waache dawa wale mlo kamilii [emoji3][emoji3][emoji3]Ukisoma huu Uzi ,unabakia kucheka tu. Pale mjinga anapotoa elimu kwa kujiamini haswaaa.......
Mm nilitaka ziwe zinauzwa sh 40000 kwa dozi ya mwezi ili kuwafanya watu waogope huo ugonjwaHabarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia hizo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa.
Kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.
kabla ya kuandika kitu si mfanye tafiti kidogo?Habarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia hizo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa.
Kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.
Na hiyo ndiyo ufumbuzi wa huu ugonjwa japo mm nasema dawa ziachwe kutolewa bure ziuzwe sh40000 kwa dozi ya mwezi mmojaAisee watakondeana bila hizo dawa,ugonjwa utatutisha zaidi.
Nalog off Z
Mental disorder is real.Sio kweli hapa ukweli ni kwamba izo ARV zimewekwa ili biashara iendelee kuwepo waendelee kuwauzia dawa tu na kwa taarifa yako ata vipimo vya hao virus havitoi majibu ya ukweli kwa wakati kwaio unaweza kutana na mtu ukajidai kumpima leo kumbe kapewa wiki moja iliyopita kipimo kinaonyesha hana then anakupa na wewe mwiso wa siku wanawaita wawape izo dawa ambazo ni biashara endelevu
That's why you suffer from it
Ukinywa ARVs vizuri, huwezi ambukiza wengineHabarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia hizo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa.
Kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.
Akishaanza? au akiacha dose ghafla?Kinachositisha,
Mtu akishaanza kutumia, anazima Kama mshumaa