Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Lizaboni

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
33,895
Reaction score
20,392
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA.



=====
UPDATES:

Apekuliwa nyumbani, arejeshwa Central...
Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe amerudishwa Polisi Kituo cha Kati Dar es salaam usiku huu baada ya Jeshi la Polisi kupekua nyumba zake Mikocheni na Kawe, tuhuma madawa ya kulevya

Aachiwa:

======
Sakata la Mbowe kutajwa na Makonda kuhusika na biashara ya maddawa ya kulevya


======
Visa vya watu maarufu wengine waliowahi kutuhumiwa au kukamatwa na madawa ya kulevya
 
Kama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?
 
We jamaa ni Nomaaaa...na huwa Hubahatishi Aiseee,tunasubiri Mkuu.
 

Hongera sana.Maana na kesho kwenye kesi ya Makonda uwe wa kwanza kutuhabarisha pia
 
Kumekucha, hivi logic ya kumshikilia mtu masiku mengi huwa ni ipi? Na ile sheria ya masaa 24 huwa kuna namna polisi wana-bypass? Naomba kujuzwa kwa ufahamu wangu maana mtu kama Manji ameshindwa, sie makapuku tusio na wanasheria najiwazia!
 
kihere here cha nini! relax men
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…