Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana. Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.

Taarifa kamili itawajia hivi punde
Ahsante serikali.
 
Hizi jitihada zingetumika kuwakamata wezi wa pesa za escrow,lugumi etc nchi ingekua mbali kimaendeleo.
Sijui ni kwanini nguvu nyingi ya dola inatumika kwenye mambo yasiyokua na msingi badala ya real issues
Hapa ndo naamini wale waliosema hii vita ni visasi vya kisiasa
 
Vipi hao polisi watamchukulia lini hatua yule aliyeuza nyumba za serikali alipikuwa waziri?

Kila mkakati manoanzisha mnaishia kukwama hata huu nao tayari mshatumbukia


Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana. Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.

Taarifa kamili itawajia hivi punde
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana. Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.

Taarifa kamili itawajia hivi punde
Kaka mkubwa amepatikana chimbo gani? Maana nasikia alikuwa invisible
 
Hizi jitihada zingetumika kuwakamata wezi wa pesa za escrow,lugumi etc nchi ingekua mbali kimaendeleo.
Sijui ni kwanini nguvu nyingi ya dola inatumika kwenye mambo yasiyokua na msingi badala ya real issues
Hapa ndo naamini wale waliosema hii vita ni visasi vya kisiasa

Hao ni wanaCCM hawawezi kuguswa,hapo issue ilikuwa kumnyanyasa Mbowe hakuna kingine.Kisa ni kesi ya kesho
 
Back
Top Bottom