Nimejisikia faraja Mbowe kukamatwa
Tetty katika ubora wako. jioni njema
Mbona naambiwa na mtu aliye karibu naye kuwa hajakamatwa?Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
You must be suffering from schizophrenia. Go and see your doctor old man before it's too late. Hapa vilaza wenzako tu wa CCM ndiyo wanashabikia ujinga wako. Wala humtetereshi yeyote. Unajichekesha....dumb assHahahahahahahaaaaaaaa! Mnabadili santuri tu. poleni sana
Hizo taarifa na vielelezo vyako peleka kwa Kamishna ili afanye uchunguzi. Ukweli ukithibitika itakusaidia hata wewe. Kwani utakuwa umefuata taratibu kisheria.huyu jamaa ashaangamiza vijana wengi kwa faida yake blna bora afungwe moja kwa moja
Illusionist
Mtu mzima ukiwa muongo ni aibu kwako na kwa waliokulea,kumbuka uongo ni dhambi.Hahahahahahahaaaaaaaa! Mnabadili santuri tu. poleni sana
Mkemia hasemi uongo[emoji23]Kama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?
Habari imekaa kichochezi unamkuta na huyu anawaambia watu ana taaluma ya uandishi wa habari, Non senseTaarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Hoja mfu utaziacha lini yarabihao ni wachagga wenzie unategemea nini? Mbowe alijificha na kukamatwa...
Ukitaka kumwamini siro sasahivi anza kumwamini Pengo kwanza.Shikamoo hela ya Lugemalila iliyopitia bank ya mkombozi na kuchukuliwa na yule Mzee waliyempeleka wakamficha kagera.Subiri Press Conference ya Kamanda Sirro
Ataenda vipi wakati Tundu Lissu na Kibatala wamemwambia asiende?na uzi upo humu.Bora ameenda hii itapunguza maneno mengi sana. Cha muhimu apewe heshima yake ya kuwa ni kiongozi wa upinzani. INNOCENT UNTIL PROVEN GUILTY.
Tusijaribu kuwa polici NA mahakama hapa JF. I am not a chadema Member but the thing I hate most is injustice.
NA tusimsahau ndugu yetu Ben Saanane?
Uende UKAWA kufanya nini? UKAWA wanapokea waongo?Swali lako linalenga nini Kamanda? Unataka niiache CCM kama walivyoiacha Kingunge na Lowasa? Thubutu! Nimeshatoa masharti kwamba taarifa hii ikithibitika ni uongo nahamia rasmi UKAWA
Makene, akizungumza na millardayo.com amesema Freeman Mbowe amekamatwa wakati akiwa njiani kuelekea kituo cha polisi kwa mahojiano.Hahahahahahahaaaaaaaa! Mnabadili santuri tu. poleni sana
Ataenda vipi wakati Tundu Lissu na Kibatala wamemwambia asiende?na uzi upo humu.
MBOWE AMEKAMATWA!
Wewe jamaa toka Dr Slaa alipoondoka Chadema unachuki na makamanda hatari. Have you taken your pills today? You must be sick.Francis12 acha kumlisha maneno Millardayo.
dawa ya moto ni moto. dawa ya siasa ni siasa.Duh CHADEMA wana safe houses! Red brigade hawakuleta rabsha wakati kamands wao anatiwa nguvuni?
Hivi kwa nini atumie juhudi zote hizo kujificha wakati anafahamu/anatuaminisha kwamba hana kosa?
Kwa hiyo Lissu amekurupuka siyo?