Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,411
kwa hiyo asikamatwe kisa tunataka ajira na viwanda?Bavicha akili zenu zina matatizo sana kwa kutetea wahalifu.
Kama akikutwa anatumia dawa,tafuteni mwenyekiti mwingine kwa sababu katiba ya chadema inamzuia mtu anetumia madawa ya kulevya kuwa mwenyekiti.
Wooote waliomwita Lowassa wana masahibu mazito sana.
Lissu,Lema,Mbowe,saa nane na wengine listi inakuja
Wahalifu uanwajua wewe??Wale akina Lugumi,Escrow,Bilioni nane,Nyumba za serikali uanwaweka wapi??Naona hujui wahalifu kuna siku utakuja kuwajua