Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,411
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Acha uonga CDM toka lini ina majengo?Uongo mpaka kwenye kiuno loh.Mwanamke kuwa na ustahimilivu na hekima japo kidogo.Dada atakayekuzika humjui.Wala kesho yako huijui pia.
Unayefikiri kwa kumsakizia madawa awe masikini hatakuwa masikini.Umasikini si wa mali hata akili pia