Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA



Acha uonga CDM toka lini ina majengo?Uongo mpaka kwenye kiuno loh.Mwanamke kuwa na ustahimilivu na hekima japo kidogo.Dada atakayekuzika humjui.Wala kesho yako huijui pia.

Unayefikiri kwa kumsakizia madawa awe masikini hatakuwa masikini.Umasikini si wa mali hata akili pia
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA


Mbona munatuchanganya!!!!??? CCM wanasema lao na huku CHADEMA wanasema lao???!!!

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA

Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Polisi kwaajili ya mahojiano.
Taarifa zinazo sambaa kwamba jeshi la polisi limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinalenga nini taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa, na Jeshi la Polisi,hivyo nayeye kama Kiongozi anataka kujua nini hasa jeshi hilo linahitaji.

Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa


9475a081e24a6716bc3d26734d4d092f.jpg
 
Lizaboni hebu tupe taarifa nini kinaendelea kuhusu Philemon ?

Kisha utuonyeshe namna mtukufu anavyofurahia kwa sasa ktk nchi yenu ya viwanda na uchumi wa kati
 
Acha hizo wewe,wamemuonaje na gari kabadili na lina tinted
Mbowe katiwa mbaroni.Kaambiwa aripoti saa 2,halafu aende saa tisa?
Mnaremba taarifa wakati nyie ndio mlikuwa mnamtetea asiende na Tundu Lissu na kibatali wameshauri asiende,kimempata kipi mpaka kaamua kuwakiuka mawakili wake?
mkuu usitoe povu la buree...Mbowe alitaka taratibu zifuatwe so as wanasheria wake...na taratibu zimefuatwa ndiyo maana leo karipoti
 
Kachukue buku 7 lumumba sasa mnatetea ujinga
Kamanda jana ulifungua thread kwa tamko koko kutoka bavicha.Mlidhani hilo teja lenu haliwezi kukamatwa?
Mbowe ana mlinzi na dereva toka serilikalini,anawasiliana na sumaye na Lowassa wenye walinzi na madereva toka serikali unategemea nini?wanarusha tu coordinates,ndio maana kakamatwa getini anataka kutoroka!
 
Kama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?

Si ndio hapo mkuu! Mtu kama unajiamini kwa nini ujifiche nyumba hadi nyumba kuwakwepa Polisi,yaani anaiga mbinu za Escobar!!
 
MBOWE HAJAKAMATWA NA POLISI....
MBOWE KAJISALIMISHA MWENYEWE POLISI na hii ndio taarifa sahihi!!
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA


Makondae unalaana sana nadhani waliokuharibu ukiwa mdogo huko waliko wananchekelea sana unaandika mwenyewe story as if ni kitu cha maana sana nchi imewashinda munaleta upuuzi hapa
 
mkuu usitoe povu la buree...Mbowe alitaka taratibu zifuatwe so as wanasheria wake...na taratibu zimefuatwa ndiyo maana leo karipoti
acha kujifariji wewe Tanapa,Mbowe kakamatwa getini anataka kutoroka.taratibu gani zimefuatwa,aliemwambia anywe maji ya madafu atoe madawa mwilini amemdanganya
 
daaah hii hatari aisee utawala bora uko wapi utawala wa sheria uko wapi demokrasiya iko wapi semeni basi huu utawala wa kifalme hauna katiba wala sheria tujue moja hakuna haja ya kuwa na upinza tanzania kama hao wapinzani hawaheshimiwi

Utawala bora ni ule wa kudharau viongozi walioko madarajani!

Demokrasia ni kusema na kufanya/kutenda lolote bila mipaka.
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA






Duh huyu mbowe kakamatwa kama saddam alikua amejificha shimoni .
 
Baada ya kukaa Mafichoni kwa Muda mrefu Mheshimiwa Mbowe ameweza kutiwa Nguvuni mchana wa Leo na Vijana shupavu wa Jeshi la Polisi.

Mbowe alikua Kajificha Mikocheni baada ya day and night hunt waliweza kumfuma japo kumekua na upotoshaji kutoka CHADEMA unaopamba habari kuwa eti amejipeleka yeye mwenyewe.

 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA

Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Polisi kwaajili ya mahojiano.
Taarifa zinazo sambaa kwamba jeshi la polisi limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinalenga nini taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa, na Jeshi la Polisi,hivyo nayeye kama Kiongozi anataka kujua nini hasa jeshi hilo linahitaji.

Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa
 
Kati ya sentensi nilicheka ni amekamatwa mikocheni alikuwa ameenda kujificha
 
Back
Top Bottom