Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Nimejisikia faraja Mbowe kukamatwa

Hongera sana,kwa kufurahia wachache kunyanyaswa sababu ya madaraka.Madaraka yakilewesha sana matokeo yake ndiyo huu upuuzi uliouandika.

Ila kesho yako huijui.Tunawapenda watanzania kama nyie mnaofikiria Upinzani ni uadui na kwamba ukiua mpinzani basi ni sahihi kuzawadiwa cheo

Cc:Vuta-nkuvute
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Mbona naambiwa na mtu aliye karibu naye kuwa hajakamatwa?
 
Hahahahahahahaaaaaaaa! Mnabadili santuri tu. poleni sana
You must be suffering from schizophrenia. Go and see your doctor old man before it's too late. Hapa vilaza wenzako tu wa CCM ndiyo wanashabikia ujinga wako. Wala humtetereshi yeyote. Unajichekesha....dumb ass
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Habari imekaa kichochezi unamkuta na huyu anawaambia watu ana taaluma ya uandishi wa habari, Non sense
 
Subiri Press Conference ya Kamanda Sirro
Ukitaka kumwamini siro sasahivi anza kumwamini Pengo kwanza.Shikamoo hela ya Lugemalila iliyopitia bank ya mkombozi na kuchukuliwa na yule Mzee waliyempeleka wakamficha kagera.
 
Bora ameenda hii itapunguza maneno mengi sana. Cha muhimu apewe heshima yake ya kuwa ni kiongozi wa upinzani. INNOCENT UNTIL PROVEN GUILTY.

Tusijaribu kuwa polici NA mahakama hapa JF. I am not a chadema Member but the thing I hate most is injustice.

NA tusimsahau ndugu yetu Ben Saanane?
Ataenda vipi wakati Tundu Lissu na Kibatala wamemwambia asiende?na uzi upo humu.
MBOWE AMEKAMATWA!
 
Swali lako linalenga nini Kamanda? Unataka niiache CCM kama walivyoiacha Kingunge na Lowasa? Thubutu! Nimeshatoa masharti kwamba taarifa hii ikithibitika ni uongo nahamia rasmi UKAWA
Uende UKAWA kufanya nini? UKAWA wanapokea waongo?
 
Hahahahahahahaaaaaaaa! Mnabadili santuri tu. poleni sana
Makene, akizungumza na millardayo.com amesema Freeman Mbowe amekamatwa wakati akiwa njiani kuelekea kituo cha polisi kwa mahojiano.
 
Ataenda vipi wakati Tundu Lissu na Kibatala wamemwambia asiende?na uzi upo humu.
MBOWE AMEKAMATWA!

Akishakamatwa umepata Viwanda?? au ajira imeongezeka??Tumia akili ya kuzaliwa kwamba chuki hazijengi bali kubomoa Taifa.
 
Duh CHADEMA wana safe houses! Red brigade hawakuleta rabsha wakati kamands wao anatiwa nguvuni?

Hivi kwa nini atumie juhudi zote hizo kujificha wakati anafahamu/anatuaminisha kwamba hana kosa?
dawa ya moto ni moto. dawa ya siasa ni siasa.

hapo hakuna cha kesi wala nini. ni movie fulani imeanzishwa na kindergarten dhidi ya mtu mzima.

you're going to see "END" on your screen shortly. don't go away!
 
Kwa hiyo Lissu amekurupuka siyo?

Wewe ndiyo umekurupuka.Hujaletewa taarifa kwamba ameenda polisi na wakili wake au??bado uko kwenye ndoto ya viwanda??Unafikiri ukishamlaza Mbowe mahabusu kesho unapata viwanda na ajira??
 
  • Freeman Mbowe hajakamatwa na kikaragosi chochote kinachojiita police, yuko na shughuli zake tu.

Lakini pia ikumbukwe kuwa police stations sio mahali pa kutafutia haki, bali mahakamani.

No limit CHADEMA FOREVER MORE.
 

Attachments

  • IMG-20170220-WA0009.jpg
    IMG-20170220-WA0009.jpg
    34.4 KB · Views: 25
Back
Top Bottom