kwa hiyo asikamatwe kisa tunataka ajira na viwanda?Bavicha akili zenu zina matatizo sana kwa kutetea wahalifu.
Kama akikutwa anatumia dawa,tafuteni mwenyekiti mwingine kwa sababu katiba ya chadema inamzuia mtu anetumia madawa ya kulevya kuwa mwenyekiti.
Wooote waliomwita Lowassa wana masahibu mazito sana.
Lissu,Lema,Mbowe,saa nane na wengine listi inakuja
Sawa, kukamatwa hatukatai, tatizo ni jinsi ulivoiandika, umeandika kisiasa sana na umeonesha wazi ni jinsi gani ulivofurahi.
Mkuu serikali ya kikoloni unaijua au unaisikia tu?acha utani kabisa na serikali hiyo.Mhhhhhhhh vijana tufanye kitu kukomboa taifa tuache kulalamika .siipendi serikali ya sasa kwa sababu ipo sawa na ya kikoloni yao tawaza kutesa tuuuuu
Ni kweli kabisa mkuu wamekamata akiwa njianikuelekea kituo cha PolisiPolisi hawajamkamata bana jamaa alikuwa njian kuelekea kituoni.....nakumbuka mgodini wale walinzi waliwauwa majambazi badae polisi walipofika wakasema wao ndo wamewaua...hii inafanana na hii..jamaa anajipeleka af wanataka kuonekana wana uwezo kweli..
Hapo mpotoshaji ni Tumaini Makene, Henry Kilewo na John MremaNyie ambayo mnapotosha nawashangaa sana sijui mnapata faida gani ingia kwenye blog ya millard ayo unionyesha nimepotosha wapi ?
View attachment 472459
Tuna plan gan ya kutuwezesha kushika hii nchi angali hatueleweki tunataka nini....sasa hivi kazi yetu ni kutetea yale tuliyokemea awali na kuwaaminisha watanzania kua hayako vzr...sisi kama upanzi wa serikali hii ya ccm...kama hatuna njia mbadalla kuongoza hii nchi ni kama kuanza safar bila kujua unaelekea wapi..ingawa kufia chama ndo sheria ya kua mwanacham....basi huu ndo ukweli...tusiwe kama hatuona viongoz wetu wanavovifanya.Najaribu kuwaza siku CDM ikichukua Nchi......kwa hayo manyanyaso wanayopitia hawa watesi wao wataenda kujificha wapi?
Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
..
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Hapo mpotoshaji ni Tumaini Makene, Henry Kilewo na John Mrema
Cha Msingi watambue tu kwamba hizo appartment zao ni siri kwa jina lakini sio siri kwa maana halisi ya siri! Akili ya Tundu Lisu inamtosha mwenyewe real, akikuazima ndio kama haya yatakutokea!! (Za kuambiwa..........)
Acha hizo wewe,wamemuonaje na gari kabadili na lina tintedNi kweli kabisa mkuu wamekamata akiwa njianikuelekea kituo cha Polisi