nimekusoma mkuu ila nlichofanya ni kurusha jiwe gizani kama limekupiga ww poleKuna kitu kinaitwa paragraph... Unakijua??
Unajua matumizi ya herufi kubwa kwenye uandishi???
Haya rekebisha huu upup.u ulioandika ili wengine tukuelewe. Nadhani watakaokuelewa hapa ni wale rafiki zako mliofeli pamoja kidato cha pili.
HaitatokeaNajaribu kuwaza siku CDM ikichukua Nchi......kwa hayo manyanyaso wanayopitia hawa watesi wao wataenda kujificha wapi?
Ww ni Mtz kweliii....Watanzania ni waoga na kamwe hawataweza kufanya kupambana na ujinga wa watawala. Watanzania ni watu wa kuonewa, kutukanwa, kunyanyaswa na kufanyiwa ujinga wa aina yeyote na wasifanye lolote. Rejea Ulimboka, Mwangosi, sasa kamata kamata ya kijinga inayoendelea. Hakuna Mtanzania ataweza jitetea ila tutaishia kuropoka kwenye media kisha tutakaa kimya huku matahira yakipewa ukuu wa mikoa na kutunyea.
Ni sawa na kusubiria embe chini ya mnazi.Kumwelewesha chizi ni kujipa kazi
Kwahiyo kwa akili zako unahisi mimi ni Mbowe??nimekusoma mkuu ila nlichofanya ni kurusha jiwe gizani kama limekupiga ww pole
Wapinzani ni nani?wapinzani wamezidisha upole aisee
Kama Kiongozi Mkuu, hiyo ilikuwa nafasi yake, ya kipekee, kuonesha jinsi anavyoheshimu na kutii sheria bila shurti, hata kama imetumika vibaya.
Kwa kukaidi, katoa funzo kwa watu kama wewe UKAIDI wa kipumbavu.
Kwa kuwa ni kiongozi, dharau aliyoionesha, kwa kukaidi wito, na kejeli kwenye vyombo vya habari, ni dhahiri amesukumwa na nguvu nje ya ubinadamu na utu.
Mkubali tu ni kiongozi mwenye shari, kiburi na wakuja tu, huyo Mkuu wenu.
Manji ni wa Kikundi gani basiCCM ni laana ya taifa hili
mboe ndio nani?Wew unaamini uharo wa maccm? Ulitarajia wakuambieje ,kuwa mboe hajakamatwa au kaenda police? Magazeti yao yaandike mini sasa
Hakuna Watanzania wajinga kama viongozi wa siasa wa vyama vya upinzani. Wanaendesha siasa kama mashuleni na vyuoni. Huko wanafunzi na wanachuo hudanganyana na wengine hufuata mkumbo tu, bila kufikiri.Watanzania ni waoga na kamwe hawataweza kufanya kupambana na ujinga wa watawala. Watanzania ni watu wa kuonewa, kutukanwa, kunyanyaswa na kufanyiwa ujinga wa aina yeyote na wasifanye lolote. Rejea Ulimboka, Mwangosi, sasa kamata kamata ya kijinga inayoendelea. Hakuna Mtanzania ataweza jitetea ila tutaishia kuropoka kwenye media kisha tutakaa kimya huku matahira yakipewa ukuu wa mikoa na kutunyea.
Huyo aliyeandika ni mwongo mbowe hakuna central na gari LA police wala gari lake halikuwa linasindikizwa na police alijisalimisha mwenyewe nilikuwepo Jirani pale na gari lake halikukawia liliondoka hivyo rekebisha sentensi ya kukamatwamboe ndio nani?
Mhhhhhhhh vijana tufanye kitu kukomboa taifa tuache kulalamika .siipendi serikali ya sasa kwa sababu ipo sawa na ya kikoloni yao tawaza kutesa tuuuuu