Kwa hiyo mkuu umelaaniwa[emoji86]CCM ni laana ya taifa hili
Lakini mkuu mbona vyombo vingine vya habari vimeripoti kuwa katiivsheria bila shuruti kaenda kuripoti kituo cha kati huko ostabay ndo nasikia kwako saa hiviNina hakika na taarifa hii. Sijawahi kuleta habari ya uongo hapa
AmenHii nchi laana imeshaingia,mungu shusha garika LA Catrina bahari ihamishe lile jumba LA sisonje na sisonje azame na maji pamoja na mropokaji wake
NADHANI AMEKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUTUMIA NA SI VINGINEVYO. BASI WASISAHAU KUMKAMATA NA MWANAMZIKI CHID BENZ.........!
Ndio mnachojua,kuchafua watu!Solution ya wewe kukubalika sio kuchafua wengineAlipata arosto wamuulize Saa8 yupo wapi?
Yaani unaamini kauli ya Lizaboni kuwa Mbowe amejificha! Hizo ni akili ndogo, Mbunge na kiongozi wa upinzani amejificha! Angetaka kukwepa angeenda kwenye Ubalozi wa nchi yoyote hapa Dar na wasingemkamata.Kama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?
unakaribia kuamini taarifa nyepesi sana zilizoletwa kinazi,hivi mbowe anaweza kuhama mafichoni hasa kama kweli ni maficho kirahisi rahisi hivyo?Kama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?
Sumu itamwagika nyumban kwenu mfe nyie...ila watanzania kwa sasa tunaomba mvua tu inyeshe watu tuingie mashamban tuzalishe nyie wafia siasa kazi mnayo...wenye akili tunajua pumba na mchele hvo msitegemee kutudanganya tena upinzan ni ficho la wapigia debe tumboKwa ufahamu wako Wema na TID unafikiri walikuwa wanatafutwa kweli? Hiyo ilikuwa ni gia ya kuwaingilia watu, sasa wameshalianzisha na kina wema na TID kwasasa wapo uraiani ila waliokuwa wanatafutwa tunawaona kila siku Mara hospital au mahakamani.
Ila nawaambieni hii sumu inayomwagwa hapa Tanzania siku sio nyingi itaonyesha kile wanachokitaka kitokee.
Tanzania sio mbingu wala peponi ila ni nchi kama zilivyo Congo na Burundi.
Tujiulize kwanini mpaka Leo tuna amani na kwanini wale kila siku wanapigana.
Viongozi waombe Hekima na Busara katika kulitumikia Taifa letu.
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Tutajazana kesho tuone ataswekwa lupango au laMbowe hana tuhuma zozote,chuki za matajiri zinawasumbua sana utawala wa awamu ya tano lakini mwisho wa siku matatamani Dunia iapsuke mwingie ndani yake??
Mmefanya haya sababu ya kesi ya kesho ili muikimbie,na hamtaikimbia.
[emoji1] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23]I wish i could be cdf
.. Kama wito haujatolewa kwa kufuata taratibu why bother? Hivi umeshawahi kupewa samansi kwa TV?Kama kiongozi mkubwa kama mbowe haitikii wito wa vyombo vya usalama vya nchi akina sie tufanyeje.? Kwa hilo mbowe ni mfano mbaya katika jamii
Hiyo 40 ni miaka ya CCM.Hebu Piga 7000 x post 900.
Halafu gawanya kwa 40.
Polisi gani waliomuita Mbowe?Hakuna Watanzania wajinga kama viongozi wa siasa wa vyama vya upinzani. Wanaendesha siasa kama mashuleni na vyuoni. Huko wanafunzi na wanachuo hudanganyana na wengine hufuata mkumbo tu, bila kufikiri.
Mh Mbowe anakubali kudanganywa na wenzake asitii wito wa Polisi, huyo ni Kiongozi wa kuaminika kweli. Akiulizwa kwa nini hakufika inavyotakiwa, siamini atajibu kwamba Mwanasheria wao ndiye kamshauri!! Vipi kama hao hao washauri wanamtia hatiani, ili wamwondoe madarakani kiaina!!
Acha kupotosha umma mkuu. Wengi tumeiangalia hiyo taarifa ya ITV...hakuna sehemu ndugu mtangazaji alisema "Ameshushwa kwa Lazima na kupandishwa kwa lazima kwenye gari ya Polisi"...ukizingatia ITV wameripoti taarifa hii kwa weledi bila kuamsha hisia za upande wowote.ITV wamesema Mbowe ameshuswa kwa lazima kwenye gari yake binafsi, na kupandishwa kwa lazima kwenye gari ya polisi, wakati alipokuwa njia kuelekea kituo kikuu cha Polisi Dar es salaam.
Uonevu huu uko mbioni kufikia mwisho!
Mimi binafsi naamini, Giza likizidi huwa asubuhi ndio inakaribia kufika!
HahahahHebu Piga 7000 x post 900.
Halafu gawanya kwa 40.
Laana zikurudie wewe unayepinga Vita dhidi ya mihadarati.CCM ni laana ya taifa hili
Weka walisemaje! Maana video zipo!Acha kupotosha umma mkuu. Wengi tumeiangalia hiyo taarifa ya ITV...hakuna sehemu ndugu mtangazaji alisema "Ameshushwa kwa Lazima na kupandishwa kwa lazima kwenye gari ya Polisi"