Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Kwanini heading imeanza na madawa ya kulevya na bado mpaka sasa hawajabadili. mbona wengine wakitajwa mnafuta Uzi muda huo huo.
hata hiyo kukamatwa....bora wangesema Mbowe ajisalimisha Polis
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA


Wewe utakuwa ulikuwa unazunguka ucku kucha kumsaka mbowe na inaonekana hukulala kwa mumeo kisa kumsaka mbowe ili ubahatishe uteuzi wa SIZONJE
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA


Jitahidi kupotosha,utapata tu cheo.
 
Hongera sana.Maana na kesho kwenye kesi ya Makonda uwe wa kwanza kutuhabarisha pia
Nihabarishe my vipi dogo ataburuzwa kesho kwenda kwa pilato?
Court ipi nijisogeze mdogomdogo
 
"Mh. Mbowe amekamatwa akiwa anaelekea kituo cha Polisi cha kati"- ITV
 
Hizi jitihada zingetumika kuwakamata wezi wa pesa za escrow,lugumi etc nchi ingekua mbali kimaendeleo.
Sijui ni kwanini nguvu nyingi ya dola inatumika kwenye mambo yasiyokua na msingi badala ya real issues
Hapa ndo naamini wale waliosema hii vita ni visasi vya kisiasa
Cc: lizagono ooops!![emoji87]

Cc: lizaboni
 
ITV wamesema Mbowe ameshuswa kwa lazima kwenye gari yake binafsi, na kupandishwa kwa lazima kwenye gari ya polisi, wakati alipokuwa njia kuelekea kituo kikuu cha Polisi Dar es salaam.

Uonevu huu uko mbioni kufikia mwisho!

Mimi binafsi naamini, Giza likizidi huwa asubuhi ndio inakaribia kufika!
 
Back
Top Bottom