mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,227
- 6,670
Hilo ndilo neno sahihi kutoka kwa wafuasi watiifu.Tumuombee mwenyekiti atoke salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndilo neno sahihi kutoka kwa wafuasi watiifu.Tumuombee mwenyekiti atoke salama
hata hiyo kukamatwa....bora wangesema Mbowe ajisalimisha PolisKwanini heading imeanza na madawa ya kulevya na bado mpaka sasa hawajabadili. mbona wengine wakitajwa mnafuta Uzi muda huo huo.
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Nihabarishe my vipi dogo ataburuzwa kesho kwenda kwa pilato?Hongera sana.Maana na kesho kwenye kesi ya Makonda uwe wa kwanza kutuhabarisha pia
Imebidi tu na inaonekana ofisi leo ishu ilikuwa kuhakikisha wanamnasasi wamemwambia aripoti jumatatu wamemkamamata kwa nini?
HahahahaKamanda Mbowe anapo wakimbia polisi halafu makamanda mnaambiwa muandamane
Nihabarishe my vipi dogo ataburuzwa kesho kwenda kwa pilato?
Court ipi nijisogeze mdogomdogo
Ndio umeona la kutoka nalo ha ha ha ha we ni zaidi ya waandishi wa habari au? Tutolee ujinga hapa
Wamechuza kweli kweliWaliokua wanampa Kichwa kwenye Uzi ule wa kujisalimisha wako wapi? Eti asiende mbowe alijua vyombo vya Ulinzi na Usalama atavizidi akili?
Cc: lizagono ooops!![emoji87]Hizi jitihada zingetumika kuwakamata wezi wa pesa za escrow,lugumi etc nchi ingekua mbali kimaendeleo.
Sijui ni kwanini nguvu nyingi ya dola inatumika kwenye mambo yasiyokua na msingi badala ya real issues
Hapa ndo naamini wale waliosema hii vita ni visasi vya kisiasa