Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Hivi sizonje amewahi fanikiwa kwa lipi?
Huu uwendawazimu sijui utaisha lini.
Hawa madokta feki wa hii kantry wa wanatudhalilisha kwakweli kwa hii staili yao ya uongozi
 
Nani kakuambia Vita ya madawa inapiganwa kwa kuwapima waathirika
Njia moja wapo ni hiyo kwa hiyo kwa mke mia mkuu wanakwenda kumsalimia tu na ninadhani unajua la kama hujui ni hivi unapokuwa vitani kila mbinu hutumika,kila silaha hutumika ilimradi ushindi upatikane kwahiyo kupima ni moja ya kutafuta ukweli wa huyu anatumia madawa ya kulevya au la na kama anatumia aliyapata wapi ndicho kinachotafutwa hapa.
 
Mbowe huyu aliyeita press conferece? Nilisema huwezi kucheza na Serikali, hilo ni somo, wapinzani mna wakati mgumu sana kuelewa maana ya Serikali. Mtanyooka tu, mnafikiri nchi hii ni yenu peke yenu. Tupo Watanzania lukuki ambao tupo nyuma ya uongozi imara wa JPM.

Ndo umefika mwisho WA upeo?
 
Mbowe huyu aliyeita press conferece? Nilisema huwezi kucheza na Serikali, hilo ni somo, wapinzani mna wakati mgumu sana kuelewa maana ya Serikali. Mtanyooka tu, mnafikiri nchi hii ni yenu peke yenu. Tupo Watanzania lukuki ambao tupo nyuma ya uongozi imara wa JPM.
We we tema mate chini, unachofurahi Leo ni msiba wako kesho. Nilipanda basi pande flani za jiji kelekea pembezoni, ndani abiria mmoja analia kisabuni, nikamdodosa KWA upole ndo nini kulia? Kaninongoneza neno moja tu, hujasikia ya Msumbiji? Nikamjibu no! Ndugu yetu anaishi huko toka juzi hajaonekana na simu yake haipatikani, nikauchubua, je serikali yako imelichukuliaje? Ndugu zetu wanasafirishwa na malori Ka Ngombe, je thamani yako iko WAPI? Furahi tu unae ijua kesho yako.
 
Mbowe huyu aliyeita press conferece? Nilisema huwezi kucheza na Serikali, hilo ni somo, wapinzani mna wakati mgumu sana kuelewa maana ya Serikali. Mtanyooka tu, mnafikiri nchi hii ni yenu peke yenu. Tupo Watanzania lukuki ambao tupo nyuma ya uongozi imara wa JPM.
Tuwekee sawa hili katika uelewa, kwani kucheza na serikali maana yake/yako ni nini?
 
Hongera ambaye kuripoti kwa Mbowe polisi hakutuletei viwanda wala ajira mpya.Ila furaha yako kuna.siku itakuwa msiba wako.

Hongera Lizabeth.Wasalimie Songea.
Viwanda vitakuja tukishawakamata people's wote
 
Jamani;
Hivi tujiulize swali kidogo tu. Hata kama ni nini au hata kama Kamanda wetu mkakamavu mwenye uwezo mkuu na resources zote za HQ Siro IQ yake ni kidogo vipi, ataenda kweli kuupoteza mda wake kuangalia vyumba vya Mbowe anakolala bila uhakika kuwa anajua anacho kifanya/kitafuta?? Never! Lazima atatoka na kitu. Mbowe jitayarishe una la kujibu. Time is out for yu
Hata siro Ni mzembe kati ya wazembe wengine yaani muda wote huo bado akute ushahidi
 
Tuombe Mungu asiwe anatumia ile zile dawa za kulevya au kuuza ili heshima yake iwe pale pale....
Lakini kipimo kirejesho majibu chanya basi tujiandae kisaikolojia...
Apimwe nani kwa Sheria ipi? Ni shetani tu mwenye tabia hii inayoiandama nchi yetu
 
injustice anywhere is a threat to justice everywhere
_________________________________
Never give up hon Freeman mbowe

Nimesahihisha wakuu
74068895c64379ec30f4662bc30298e3.jpg


Chanzo Instgram @maalimseifshariff
 
Kuna uwezekano mkubwa yaliyomkuta Manji yanaweza kumkuta pia Mbowe, kwa style hii ni vigumu sana kupambana na vita vya madawa ya kulevya.
Unaweza kuta mpaka sizonje anabwia
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA


Ni vizuri alivyokamatwa, wamuhoji kikamilifu na kwa kuzingatia sheria.sheria ichukue mkondo wake
 
Hivi kweli baada ya wiki mbili halafu wanaenda kumpekua? hii ndiyo tz.

Ukitaka vichekesho kama hivi njoo tz
 
Back
Top Bottom