Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Kuizushia CHADEMA na viongozi wake uzushi wa uzito wowote (eg wa tani 10) sio kosa nchini mwetu na dola itakulinda ila kusema ukweli mchungu dhidi ya CCM au serikali hii au kuizushia uzushi au uongo japo wa kilo 5 CCM au serikali hii ni kosa kubwa saaaaana kwa dola na watatumia resources zao zoooote kukusaka
 
Ameeeeeeen tunamshukuru sana mwenyezi mungu kumsimamia mwenyekiti wetu
 
Mkuu lengo ni kuwalaza gerezani katika kuwadhalilisha, kuwavunjia heshima hata kama kufanya hivyo ni kukiuka haki za msingi za binadamu

Tulisikia mawakili wakionywa kuwa nao 'wawekwe' mahabusu. Kwa maana kuwa hakuna tena haki ila haki ni ile inayotolewa na watu kwa matakwa yao

Swala la Mbowe lina sura inayotisha ingawa wengi hawawezi kuona tatizo
Hatuongelei kama anahusika au hahusiki, tunaongelea mazingira ya siku nyingi

1. Alitafutwa kupitia Bilicana
2. Akafuatwa na Hotel zake

Ukitazama kwa umakini kuna 'political motivations' huwezi kuwaambia watu wasiamini

Tayari kuna dots watu wanaunganisha tu. Iwe kweli au si kweli wapo wanaoamini hivyo

Kinachoendelea nchini ni kitu cha hatari sana. Hivi kwanini Polisi waende kwenye TV kutangaza wanamtafuta Mbowe.

Yaani wakipewa habari za Jambazi Nyangumi wataenda kumtaka ajisalimishe kupitia TV!

Kitendo kile tu cha Polisi kukomalia kinashaka isiyo na shaka.

Pili, Polisi wanaweza kujua alipojificha Mbowe, hawawezi kuhakiki jina walilopewa kama lina usahihi. Hapa kuna nini?

Halafu kwanini Watangaze wasiende kukusanya ushahidi na kumfikisha mahakamani?

Hivi kama kuna kitu si ameshakificha, kazi ya Polisi itakuwa nini kama hawana ushahidi

Haya tumeona matokeo yake katika nchi za wenzetu. Gambia Rais amelezimika kuondoka

Zimbwabwe mzee yupo madarakani kuliko kaburu yoyote yule aliyewahi kutawala

Mugabe na Jameh wanatishwa na siasa walizofanya huko nyuma, siasa za visasi.

Tunazidi kugawanyika na kupoteza misingi yetu ya umoja, utu na upendo

Leo Tanzania inakuwa Taifa la wananchi wanaoishi kwa kutoaminiana, hofu na kihoro

Taifa limegawanyika, misingi iliyotuweka pamoja inabomoka.

Nani ajueaye kesho itakuja na ni?
 
Tunasafari ndefu ya kupambana na vita ya madawa ya kulevya.Naomba serekali iache siasa kwenye jambo hili na ijikite kwenye dhamira ya kweli ya kupambana na vita ya ukweli ya madawa ya kulevya.
Makondakta atahukumiwa kwa huu mkasa mzima
 
Nahamu sana kusikia figure za fidia... Nenda Mbowe, haiwezekani mtu mwenye umri sawa na mwanao akuvue nguo.
 
I wish to be IGP huku IGP ni Junior wako duh! Next episode loading .........
Viva Mbowe mnafiki huumbuka mchana kweupe.
 
Kwa hiyo hizo nyaraka ndio vielelezo vya madawa ya kulevya? Hii ni aibu ya mwaka kwa watawala hawa waliopo. JK na wastaafu wengine toeni semina elekezi jinsi ya kurun nchi
Unadhani huyo Katibu atamwaga mchele humu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…