Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 939
Sasa mbona kama wewe ndo huna akili?hebu jiridhishe na hizo taarifa zako kwanzaWewe yawezekana huna akili ama Mbowe huwa anakupa unga. Leo kalala shimoni, na kesho atalala shimoni kabla kupelekwa court.
yaaani naweza kusema watu aina ya MH SANA MH. MBOWE sio watu wa kujaribiwa kwa manenomaneno kama jamaa sizonje akiguswa tu anakurupuka bila kutuliza mzuka.Lizabon leo yuko chakari,nilimwambia jana akumbuke leo Boss wake ana kesi iko Mahakama kuu.Nasikia amekataa wito ngoja tusubiri kama Mahakama ina MENO au meno yalishang'olewa
Thubuutuuuu,hana jeuri ya kukataa wito wa mahakamaLizabon leo yuko chakari,nilimwambia jana akumbuke leo Boss wake ana kesi iko Mahakama kuu.Nasikia amekataa wito ngoja tusubiri kama Mahakama ina MENO au meno yalishang'olewa
Unawajua Burkina Faso, Central Africa,wote hao wamewahi kuwa waoga kama sisi.watanzania sie waoga....hatuwez kufikia yaliyotokea Rwanda au Burundi..so achana na habari za kumwaga damu! hakuna atakaye mwaga damu rabda amwage jasho
Leo hii wanakimbilia mafichoni kwa aibuNdiyo nenda mahakamani sasa,hujui muosha huoshwa?/Zamu yako nenda Mzee uliyebwia Madaraka
Huyu dada ni nani ?
Leo hii wanakimbilia mafichoni kwa aibu
Hatuwezi kuendelea kuvumilia upuuzi wa udhalilishaji kama huu kwa ajili watu wachache wasiokuwa na akili Makonda alituhumu Mbowe kuhusika na madawa ya kulevya jana wameenda kufanya upekuzi nyumbani kwake hajakuta chochote. Makonda anajikiaje kumwaribia Mbowe jina? watalipa gharama za kuchafua jina iwe fundisho kwa wengine kesi iko mahakamani Sirro na Makonda wataitwa kujielezaWell said.
Hakika katika hili Mhe. Mbowe na CHADEMA wasirudi nyuma lazima kieleweke! Kama ni kweli Mwenyekiti wa CHADEMA na Kiongozi wa KUB Nungeni amekutwa HANA MADAWA ya kulevya iwe sijui Cocaine,Heroin,Bangi, Mirungi,n.k LAZIMA MBOWE NA CHADEMA WATOE FUNDISHO KWA POLISI,MAKONDA,SIRRO,MAGUFULI na Serikali yao ya CCM!
Haiwezekani Watawala waingize siada za kutaka KUUA UPINZANI KWA KUTUMIA KISINGIZIO CHA KUBAMBIKA WATU KESI ZA KIHUNI!!!!!!
Watanzani shime tukatae upumbavu huu na lazima ukomeshwe mara moja!
Mkuu hao vijana wa lumumba ni hatari kuliko hata kipindupinduSasa mbona kama wewe ndo huna akili?hebu jiridhishe na hizo taarifa zako kwanza
Thubuutuuuu,hana jeuri ya kukataa wito wa mahakama
Inspector upo?habari za Kenya!Unaitwa mahakamani na kamanda wako na dogojanja mkajibu tuhuma za kukurupuka
yaaani naweza kusema watu aina ya MH SANA MH. MBOWE sio watu wa kujaribiwa kwa manenomaneno kama jamaa sizonje akiguswa tu anakurupuka bila kutuliza mzuka.
sasa wamejaribu sehemu isiyojaribiwa.
utam wa hii kitu ni.. vita imewakutanisha wenyew kwa wenyeww ngoja tuone nani zaidi.. mahakama! au MADEREVA na SERRO
UTII BILA SHURUTISHO ni mazingaumbwe
Umeona kama hujui kusoma eeh ..bure kabisa wewe huna faida kwenye Taifa letu pendwa Tz rudi kwenu Congo.Hayo maneno ya kilumumba peleka huko huko msiyojitambua
Nini kinaendelea kuhusu Mbowe bado anahojiwa?Umemjibu vyema. Kwa sababu unabwia unga usikamatwe kisa unaowahisi bila ushahidi hawajakamatwa?
Wewe umeona kuna kesi hapo? lazima utakuwa james sio bure.Hatuwezi kuendelea kuvumilia upuuzi wa udhalilishaji kama huu kwa ajili watu wachache wasiokuwa na akili Makonda alituhumu Mbowe kuhusika na madawa ya kulevya jana wameenda kufanya upekuzi nyumbani kwake hajakuta chochote. Makonda anajikiaje kumwaribia Mbowe jina? watalipa gharama za kuchafua jina iwe fundisho kwa wengine kesi iko mahakamani Sirro na Makonda wataitwa kujieleza
Anty Tetty hupendi jibu maswali veve ndio shida yako umekazana kupinga na kupiga makelele chooni.Ndiyo nenda mahakamani sasa,hujui muosha huoshwa?/Zamu yako nenda Mzee uliyebwia Madaraka
Mbowe yupo nyumbani kwake anajiandaa kwenda kushuhudia walio mzushia wanavyo ning'nizwa kwa pilatoNini kinaendelea kuhusu Mbowe bado anahojiwa?