MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
HAPA LEO LAZIMA TUKAZIE HII KITU..Leo hawapo,nasikia wamekimbia WITO wa Mahakama.Huku hawatakuja ng'ooooooooooooooooooooooo
KAMANDA ... TII SHERIA BILA SHURUTI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAPA LEO LAZIMA TUKAZIE HII KITU..Leo hawapo,nasikia wamekimbia WITO wa Mahakama.Huku hawatakuja ng'ooooooooooooooooooooooo
Ninakudharau saa weweUmeona kama hujui kusoma eeh ..bure kabisa wewe huna faida kwenye Taifa letu pendwa Tz rudi kwenu Congo.
Sasa hivi yupo hoi chini ya uvungu anasikiliziakamanda wa LUMUMBA uko wapiii mbona kimyaaaa!!
updates vepeeeee???
Anty Tetty hupendi jibu maswali veve ndio shida yako umekazana kupinga na kupiga makelele chooni.
ameachiwa mkuu. wee kanywe tu sumu maana leo anawaburuza wasanii mahakamani.Wewe yawezekana huna akili ama Mbowe huwa anakupa unga. Leo kalala shimoni, na kesho atalala shimoni kabla kupelekwa court.
NANI HUYOOO MADEREVAA AU SERRONasikia yuko kwa bebi yake kule Kajitengeni
Leo si ndio mahakaman au?
Makonda lazima alipe gharama za kuchafua jina la Mbowe anatakiwa kuita waandishi wa habari kutangaza Mbowe hausiki kwa amriWewe umeona kuna kesi hapo? lazima utakuwa james sio bure.
Asante sana mkuu kwa kuongea ukweliameachiwa mkuu. wee kanywe tu sumu maana leo anawaburuza wasanii mahakamani.
Mkuu nasikia kaikimbia ofisi kuogopa kwenda kwa pilatoMakonda lazima alipe gharama za kuchafua jina la Mbowe anatakiwa kuita waandishi wa habari kutangaza Mbowe hausiki kwa amri
Afanye hivo kwa kumrizisha Mbowe au wewe ?Makonda lazima alipe gharama za kuchafua jina la Mbowe anatakiwa kuita waandishi wa habari kutangaza Mbowe hausiki kwa amri
Alikutwa na nini mdau?Nina hakika na taarifa hii. Sijawahi kuleta habari ya uongo hapa
Samahani kwa kukuquote . Ni muda sijachangia jambo hapa jamvini.Asubuhi hii nimesoma orodha ya "madawa ya kulevya" yaliyokamatwa kwenye upekuzi makini na wa kisayansi wa polisi wanaofanya kazi zao kwa weledi wa hali ya juu kabisa wakiongozwa na uzalendo mtupu na uzalendo pekee huko nyumbani kwa mshukiwa mkubwa anayetaka kuliangamiza taifa, kisha nikajisifia peke yangu: "Lazima Paulo atashinda hivi vita dhidi ya madawa kama ule ushindi wa Daudi maana Roho Mtakatifu aenenda pamoja naye, ndaniye, chiniye na juuye!" Hebu nawe isome hii orodha ya madawa hatari, kisha unipe maoni yako:
1. Hati moja ya CHADEMA CHASO kwenda kwa Mwenyekiti ya tarehe 16/7/2013
2. Picha mbali mbali nane za matukio ya uhalifu - picha za wahalifu wanaoharibu mali
3. Hati moja ya Rasimu ya Kwanza ya CHADEMA kuhusu uundwaji wa Red Brigade
4. Hati moja ya kurasa 13 inayoongelea mambo ya Muungano.
M/kitu wako lini aliwahi kutii hiyo sheria? angeanza kutoa mifano yeye kama figure ya hekaya yenu huko. Aache mambo ya bongo movieLeo mtatukana sana ila TIINI sheria bila shuruti period.Pokea wito huo acha blah blah.Unataka kwenda mbio wakati huna break??
Mkuu nasikiaMakonda lazima alipe gharama za kuchafua jina la Mbowe anatakiwa kuita waandishi wa habari kutangaza Mbowe hausiki kwa amri
Cc:LizaboniAlikutwa na nini mdau?
Mhhhhhhhh vijana tufanye kitu kukomboa taifa tuache kulalamika .siipendi serikali ya sasa kwa sababu ipo sawa na ya kikoloni yao tawaza kutesa tuuuuu