Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nashangaa hapa wakati jtatu haijaishasi wamemwambia aripoti jumatatu wamemkamamata kwa nini?
katika nchi ambayo kiongozi anakaa hadi miaka 10 tu madarakani hainogi sana.Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Mkuu, haya mahaba ulionayo na CCM ni ya aina gani? umekuwa mpinga hoja mzuri za ukawa, hata mambo yasiohitaji kupingwa! Mungu akusaidie, ktk kipindi hiki cha kuteua na kutengua, na wewe ukateuliwe kuwa hata mkuu wa wilaya.
wanasema eti ameenda mwenyewe Kamanda sirro anasema wamemtia Nguvuni
Unauliza nywele kichwani?Hivi kuna nini dhidi ya mbowe???
Ana dharau kuna siku nilisema muda utafika atadharirishwa tu..! Why asingeenda mwenyewe??n
Ndio nashangaa hapa wakati jtatu haijaisha
imeandikwa kimrengooo hiiiTaarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Samahani naomba niambie alifanywa nini,maana kitu ambacho hawezi kusahau kama siyo mbwambwa ni mtandao wa hakichachiHahahahahahahaaaaaaa! Anakumbuka yaliyomkuta Arusha aliposafirishwa kwa ndege kwenda Dar. Yaliyomkuta humo kwenye ndege hatakuja kusahau
Peleka huo ushahidi haraka. Bk7x2Alikuwa anameza dawa za kuondoa kileo a.k.a UNGA.
Sawa, kukamatwa hatukatai, tatizo ni jinsi ulivoiandika, umeandika kisiasa sana na umeonesha wazi ni jinsi gani ulivofurahi.Nina hakika na taarifa hii. Sijawahi kuleta habari ya uongo hapa
kwa hiyo asikamatwe kisa tunataka ajira na viwanda?Bavicha akili zenu zina matatizo sana kwa kutetea wahalifu.Akishakamatwa umepata Viwanda?? au ajira imeongezeka??Tumia akili ya kuzaliwa kwamba chuki hazijengi bali kubomoa Taifa.
dah kamanda ngoja tuje kuimba mapambio
Nalionea huruma taifa langu kwanza na aina ya watu waliomo ndani yake ambao hawana faida zaid ya hasara .hasa wanaume wa aina yako aisee ptuuu!! Mwanaume kuwa mbeambea na ushadadiaji mambo kwakweli sijui imekaaje hii! NAIONEA HURUMA NCHI YANGU TANZANIA.jionee huruma mwenyewe