Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Lizaboni kwa propaganda noma, heading ya thread kaanza neno "Dawa za Kulevya"
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
katika nchi ambayo kiongozi anakaa hadi miaka 10 tu madarakani hainogi sana.
 
Mkuu, haya mahaba ulionayo na CCM ni ya aina gani? umekuwa mpinga hoja mzuri za ukawa, hata mambo yasiohitaji kupingwa! Mungu akusaidie, ktk kipindi hiki cha kuteua na kutengua, na wewe ukateuliwe kuwa hata mkuu wa wilaya.

Kuna watu humu huwa hawatumii sawasawa akili zao, wanatamani kuwaaminisha wengine vitu tofauti na uhalisia. Sitaki kuamini kama siku linatokea anguko kwa upande ule mwingine wataishije.
Inaweza kuwa hukumu kwao na vizazi vyao. Itakuwa shida sana sana sana. Sana. Tuombe uzima tuje kushuhudia.
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
imeandikwa kimrengooo hiii
 
Mbowe anajiharibia sana angereport mwenyewe haya kukamatwa kama kuku yasingetokea.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Hahahahahahahaaaaaaa! Anakumbuka yaliyomkuta Arusha aliposafirishwa kwa ndege kwenda Dar. Yaliyomkuta humo kwenye ndege hatakuja kusahau
Samahani naomba niambie alifanywa nini,maana kitu ambacho hawezi kusahau kama siyo mbwambwa ni mtandao wa hakichachi
 
Akishakamatwa umepata Viwanda?? au ajira imeongezeka??Tumia akili ya kuzaliwa kwamba chuki hazijengi bali kubomoa Taifa.
kwa hiyo asikamatwe kisa tunataka ajira na viwanda?Bavicha akili zenu zina matatizo sana kwa kutetea wahalifu.
Kama akikutwa anatumia dawa,tafuteni mwenyekiti mwingine kwa sababu katiba ya chadema inamzuia mtu anetumia madawa ya kulevya kuwa mwenyekiti.
Wooote waliomwita Lowassa wana masahibu mazito sana.
Lissu,Lema,Mbowe,saa nane na wengine listi inakuja
 
jionee huruma mwenyewe
Nalionea huruma taifa langu kwanza na aina ya watu waliomo ndani yake ambao hawana faida zaid ya hasara .hasa wanaume wa aina yako aisee ptuuu!! Mwanaume kuwa mbeambea na ushadadiaji mambo kwakweli sijui imekaaje hii! NAIONEA HURUMA NCHI YANGU TANZANIA.
 
Gari la Mbowe limeondoka labda dereva Amepangiwa tarehe ya Kuja Kumchukua mwenyekiti huyo wa CHADEMA.


 
Back
Top Bottom