Pole mkuu naona umenena kwa hisia kali sana!kibaba unachowapimia wenzako na wewe utapimiwa hichohicho!-->>Niwakati wao acha wayatende haya kwa sasa muda utafika pia wao hawatahurumiwa hata kidogo......""
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu naona umenena kwa hisia kali sana!kibaba unachowapimia wenzako na wewe utapimiwa hichohicho!-->>Niwakati wao acha wayatende haya kwa sasa muda utafika pia wao hawatahurumiwa hata kidogo......""
nashangaa maana ni muda sasa. kama tatizo ni lile lile ni kama walimpa nafasi basiYaani labda vipimo lakini kwa upande wa NYARAKA TANGU AITWE MPAKA LEO AWE BADO ANAZO TU MIMI SI DHANI.
nawachukia wauza madawa ya kulevyaNaichukia sana ccm
Ujinga huu huwezi kuuona nchi nyingine duniani tofauti na Tanzania chini ya uongozi wa Faru Jon toka chato.
Hivi Lumumba kuna shamba?acha kukashifu Kazi za watu...we subiri buku sabaSumu itamwagika nyumban kwenu mfe nyie...ila watanzania kwa sasa tunaomba mvua tu inyeshe watu tuingie mashamban tuzalishe nyie wafia siasa kazi mnayo...wenye akili tunajua pumba na mchele hvo msitegemee kutudanganya tena upinzan ni ficho la wapigia debe tumbo
Mkuu hata kama mimi ninayo haya madawa tangia mbiu ya mgambo inaanza sijasafisha nyumba tu.Kabisa but wao ndiyo wataalam let us wait.
Vipimo vya nnYaani labda vipimo lakini kwa upande wa NYARAKA TANGU AITWE MPAKA LEO AWE BADO ANAZO TU MIMI SI DHANI.
Yanga si chama cha siasa chenye matarajio ya kutinga ikulu. Au unamaanisha inaruhusiwa kikatiba mtu anayetumia hayo mavitu kutinga ikulu? Si ni patakatifu pale kama tulivyoambiwa na Nyerere?manji ni kiongozi wa Yanga.
....Kuna uwezekano mkubwa yaliyomkuta Manji yanaweza kumkuta pia Mbowe, kwa style hii ni vigumu sana kupambana na vita vya madawa ya kulevya.
Mbona wapata tabu hivi? Maslahi yako hasa ni yapi?Hahahahahahahaaaaaa! Chadema kwa kupindua maneno nyie! Ina maana walienda kumpekua hata kabla hajaripoti kituo cha polisi? Ina maana walipokutana naye tu njiani ndo wakamwambia haya twende nyumbani kwako tukakupekue? By the way je Mbowe anaishi Mikocheni?
Polisi wenyewe ndio hawa...
![]()
Kwa hesabu hiyo atalamba sana viatu Vya watu...hahahahaha the return of bi kirembweHebu Piga 7000 x post 900.
Halafu gawanya kwa 40.
.....Haya mambo Mbowe ameyataka mwenyewe kwa ukondoo wake, kama angeruhusu maandamano ya ukuta walau polisi wangeona Chadema ni wanaume. Nashangaa ameshindwa hata kuitisha maandamano kesho kwenda kumtoa sentro. Lema amesahaulika jela sasa polisi wameona chadema ni mabwege wameamua kushika pu*bu kabisa na hakuna kitu chama kitafanya. Ruhusu vijana waandamane kukutoa selo wewe mpuuzi mbowe. Umefanya yule jamaa anavuruga nchi na anataka machafuko pasipo na ulazima acha tumuonyeshe kuwa kura zaidi ya milioni sita zilipigwa kwa Chadema