Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VIPIMO watapimwa wajinga kwa mtu muelewa huwezi mpima maana ni hiyari kutolewa damu,una uhakika gani kama wanatoa tu damu na hawakuwekei polloniumYaani labda vipimo lakini kwa upande wa NYARAKA TANGU AITWE MPAKA LEO AWE BADO ANAZO TU MIMI SI DHANI.
Nakuunga mkono kwa asilimia 100% kwani Vita hii imekuwa mchezo wa kuigiza kwa lengo la kuwaridhisha baadhi ya watu.Tuwe siriazi na Vita hii kwani inawaathiri vijana wengi ambayo ni nguvu kazi ya Taifa.Hatuwezi kupambana na Vita hii kwa Style hii.Kuna uwezekano mkubwa yaliyomkuta Manji yanaweza kumkuta pia Mbowe, kwa style hii ni vigumu sana kupambana na vita vya madawa ya kulevya.
Usimlinganishe mh Mbowe na mambo ya kijingaWatafanya kila iwezekanavyo wamkute na kosa kama Wema
Unaaakili nyingi mpaka unaboa[emoji2] [emoji2] [emoji2]Polisi bwana tokea wamtanganze,yeye kwani mjinga aache ushahidi ndani?
Nyie ndio wale mlioshangilia mlipoaminishwa kuwa waishio kama malaika watafanywa waishi kama mashetani, mkiamini kuwa nyie muishio kama mashetani ndio mtaanza kuishi kama malaika.Mjanja kanasa kwny tundu la sindano saf sana polisi waliofanikisha hilo zoezi alale hata huko huko central.
What much I know kupimwa ni ridhaa na sii kulazimishwa,hawa ng'ombe wanajichukulia Sheria bila hiyari,wallah mi hunifanyii ujinga huo bora uniueHivi kweli polisi wanamamlaka ya kupima watu bila idhini ya mahakama kweli?
Mmmmh kama anavyofanya shetani?Moyo utumie kumpenda demu wako sio kuipenda CCM, ccm itakufanya kila mtu umwone adui
Obama alikuwa mvuta bange na bado akaingia ikulu.......mahali patakatifu ni mbinguni tu.....Yanga si chama cha siasa chenye matarajio ya kutinga ikulu. Au unamaanisha inaruhusiwa kikatiba mtu anayetumia hayo mavitu kutinga ikulu? Si ni patakatifu pale kama tulivyoambiwa na Nyerere?
Hahahahahah wenzio wana hofu imetanda mitaa ya ufipa unadhani wafadhili au wajerumani wakisikia majibu ya mkemia yakitoka vibaya unadhani itakuwaje?
Uongozi imara!? Insu ni malengo, mwelekeo anaotupeleka wewe unaona ni sahihi kufikia tz ya viwanda na uchumi wa kati!?Mbowe huyu aliyeita press conferece? Nilisema huwezi kucheza na Serikali, hilo ni somo, wapinzani mna wakati mgumu sana kuelewa maana ya Serikali. Mtanyooka tu, mnafikiri nchi hii ni yenu peke yenu. Tupo Watanzania lukuki ambao tupo nyuma ya uongozi imara wa JPM.
Jamani;
Hivi tujiulize swali kidogo tu. Hata kama ni nini au hata kama Kamanda wetu mkakamavu mwenye uwezo mkuu na resources zote za HQ Siro IQ yake ni kidogo vipi, ataenda kweli kuupoteza mda wake kuangalia vyumba vya Mbowe anakolala bila uhakika kuwa anajua anacho kifanya/kitafuta?? Never! Lazima atatoka na kitu. Mbowe jitayarishe una la kujibu. Time is out for yu
....Mungu nipe uvumilivu .
Tunalea ujinga kwa sababu moja tu nayo ni kwamba hatujui gharama ya ujinga. Pamoja na ujinga kututafuna kwa nusu karne, awamu hii tumeamua kuutukuza kwa kuumwagilia mbolea uzidi kustawi zaidi. Tatizo la ujinga ni kuwa si rahisi kujitambua kwamba ni mjinga na ukiuacha ukomae hugeuka donda ndugu, hauponi kwa haraka. Hakuna kibaya zaidi ya kutojua kwamba hujui...yaani kujiaminisha unajua kumbe kiukweli hujui, huo sasa ni ugonjwa.
Hawana mamlakaHivi kweli polisi wanamamlaka ya kupima watu bila idhini ya mahakama kweli?