Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vizuri amejibu maswali, kuliko alivyokuwa anaogopa kufika kituo cha polisi. Ila kwa kukamatwa amesikitisha kama kiongozi.
makamanda wa wapi nae huyu anazungumzia,nyie wote kuanzia mwenye chama mtei mpk nyie vibaraka mnapigania matumbo yenu tu,chama pinzani kupewa nyie wanywa mbege mi sikubali hata kidogo,makamanda kina Mnyika wametulia tuli toka mmeuza chama kwa lowassa,endeleeni kutapatapa na safari hii mnalo,magu hacheki na nyoka
Nani kakuambia alikamatwa?Ni vizuri amejibu maswali, kuliko alivyokuwa anaogopa kufika kituo cha polisi. Ila kwa kukamatwa amesikitisha kama kiongozi.
Weka space vituo Vya nini?Mie nakereka balaaa
Watu kwann.mnaimani na chadema na ccm
Haya yote ni sumu
Hakuna.sumu iliyo na unafuu,watz wanateseka huko msumbiji na hapa nchini bado hali tete watu mnakazana na.uji.ga
Mnafurahia mtu anaepangua hoja za.magu na.bila kujali watz tunao tesela kila.kona
Nchi ishapotezana serikali haijatambui na upinzan nao.hawaeleweki wananchi ambao ni.maboss hawajui.wajibu wao
Mnashabikia.vitu vidogo sana na.kuwapa.moyo
Kwann tusikusanye kesho kuwakumbusha.serikali kwamba kuna ndugu zetu wanateseka msumbiji
Huyo mbowe yupo tuu
Tafadhali hakuogopa ila alitaka sheria zifuatweNi vizuri amejibu maswali, kuliko alivyokuwa anaogopa kufika kituo cha polisi. Ila kwa kukamatwa amesikitisha kama kiongozi.
Nimekuelewa sana tuUjin.ga nao ni kipaji. Mtu unamtuhumu anajihusisha na madawa ya kulevya. Unautangazia umma kwamba mtu huyu anahitajika Polisi kwaajili ya mahojiano na Polisi kuhusu kujihusisha kwake na biashara ya madawa ya kulevya.
Baada ya wiki 2 mtu huyu anakwenda Polisi kwaajili ya mahojiano. Baada ya mahojiano Polisi na huyo mtuhumiwa wanakwenda nyumbani kwaajili ya upekuzi.
Polisi kwa Ujin.ga waliojaliwa wanatumainI baada ya mda huo wote na sarakasi hizo eti watakuwa exhibits chochote ambacho kitamu link mtu huyo na madawa ya kulevya.
Kama huo sio Ujin. ga wa karne basi utakuwa uju.ha wa milennium. Sijawahi kuona watu waliokosa uweledi wa kazi yao kama hawa. Inabidi tuwaingize kwa Guineas World records of stupidity!
Unafikiri wangemkuta na tatizo wangemuachia au ulitaka aende ijumaaa ili akae weekend nzimaNi vizuri amejibu maswali, kuliko alivyokuwa anaogopa kufika kituo cha polisi. Ila kwa kukamatwa amesikitisha kama kiongozi.
Ni vizuri amejibu maswali, kuliko alivyokuwa anaogopa kufika kituo cha polisi. Ila kwa kukamatwa amesikitisha kama kiongozi.
Lowasa kakimbilia wapi?Ni sawa na kusubiria embe chini ya mnazi.