Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Tanzania hapa tulipofika hata sipati picha, ila ninachokiona kwa mbali tunajenga Tanzania ya visasi na ogopa sana visasi kitu hiki siyo cha leo au kesho ni miaka mingi ijayo kikijengwa huwa hakitoki, ninashangaa hili watawala hawaoni kabisa. Haya bwana ngoja tusubili mchakato uishe maana ninaona anapita kwenye mkondo wa Bishop Gwajima nikakumbuka Maneno aliyotamka Gwajima baada ya mchakato kumalizika. Kama linafanyika kwa nia njema is ok ila kama ni kwa hila basi tukoenda ni kubaya sana Mungu airehemu Tanzania!
 
Hapa hakuna cha nani wala naniii. na mkifanya fujo na huyomtuhumiwa wenu wote mtaswenkwa lupango na viloba vyenuuu.
Wanashugulikia wauza sembe wenu harafu mnaalikana etikesho mkarundikane police?? jaribuni muone kichapo kitakacho tokeaaa
Haaa haaaaaaaaa
 
Mie nakereka balaaa

Watu kwann.mnaimani na chadema na ccm

Haya yote ni sumu

Hakuna.sumu iliyo na unafuu,watz wanateseka huko msumbiji na hapa nchini bado hali tete watu mnakazana na.uji.ga

Mnafurahia mtu anaepangua hoja za.magu na.bila kujali watz tunao tesela kila.kona


Nchi ishapotezana serikali haijatambui na upinzan nao.hawaeleweki wananchi ambao ni.maboss hawajui.wajibu wao


Mnashabikia.vitu vidogo sana na.kuwapa.moyo

Kwann tusikusanye kesho kuwakumbusha.serikali kwamba kuna ndugu zetu wanateseka msumbiji

Huyo mbowe yupo tuu
 
Mie nakereka balaaa

Watu kwann.mnaimani na chadema na ccm

Haya yote ni sumu

Hakuna.sumu iliyo na unafuu,watz wanateseka huko msumbiji na hapa nchini bado hali tete watu mnakazana na.uji.ga

Mnafurahia mtu anaepangua hoja za.magu na.bila kujali watz tunao tesela kila.kona


Nchi ishapotezana serikali haijatambui na upinzan nao.hawaeleweki wananchi ambao ni.maboss hawajui.wajibu wao


Mnashabikia.vitu vidogo sana na.kuwapa.moyo

Kwann tusikusanye kesho kuwakumbusha.serikali kwamba kuna ndugu zetu wanateseka msumbiji

Huyo mbowe yupo tuu
Yaaap hakika una akili nzurii mkuuu.
Achana na hawa mateja wa sembeee wao nikushangilia vitu vya hovyooo kabisaaa
 
Fear [emoji33] has no power kabisa, watamuweza wapi Mbowe hao jamaa jaman?
Mbon hamtaki kuelewa ukweli ati eeeeeehh?
 
Yaaap hakika una akili nzurii mkuuu.
Achana na hawa mateja wa sembeee wao nikushangilia vitu vya hovyooo kabisaaa
Sure mkuu

Hali tete sana nchin hasa akili za vjana kuendeshwa na mihemko ya wanasiasa

Hv lisu anasubili magu anazumgumze jambo.la msumbiji na yeye atengue kwa kauli za magu kw vifungu vya sheria

Na vijana wamshangalia,yaan mambo ni km wale wachungaji wanao sema tuombe na kusali baada ya njaa kutoke badala ya kusema tusali njaa isitokee

Mie watz hata siwaelewi.wacha wawatumie tuu
 
Back
Top Bottom