Alfan issa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,281
- 893
Mmh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vizuri amejibu maswali, kuliko alivyokuwa anaogopa kufika kituo cha polisi. Ila kwa kukamatwa amesikitisha kama kiongozi.
Da party [emoji322] is just beginning now...
Yaaap hakika una akili nzurii mkuuu.Mie nakereka balaaa
Watu kwann.mnaimani na chadema na ccm
Haya yote ni sumu
Hakuna.sumu iliyo na unafuu,watz wanateseka huko msumbiji na hapa nchini bado hali tete watu mnakazana na.uji.ga
Mnafurahia mtu anaepangua hoja za.magu na.bila kujali watz tunao tesela kila.kona
Nchi ishapotezana serikali haijatambui na upinzan nao.hawaeleweki wananchi ambao ni.maboss hawajui.wajibu wao
Mnashabikia.vitu vidogo sana na.kuwapa.moyo
Kwann tusikusanye kesho kuwakumbusha.serikali kwamba kuna ndugu zetu wanateseka msumbiji
Huyo mbowe yupo tuu
Sure mkuuYaaap hakika una akili nzurii mkuuu.
Achana na hawa mateja wa sembeee wao nikushangilia vitu vya hovyooo kabisaaa
balancedNi vizuri amejibu maswali, kuliko alivyokuwa anaogopa kufika kituo cha polisi. Ila kwa kukamatwa amesikitisha kama kiongozi.