Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Mtu anashitakiwa kama amekamatwa na madawa ya kulevya. Kwani Wema amekamatwa na madawa ya kulevya? Makonda hajamkamata Wema na unga! Kama ni hivyo, kwanini Wema yuko chini ya ulinzi?

Je unajua kuwa anajihusisha na hiyo biashara?
 
wakati wanamuhoji hao police walikuwa wapi? au mahabusu wako free kuongea?
 
Bila kuogopa wala kuficha maneno waliokamatwa wote ni uonez kwasababu(1) hawana ushahidi wa moja kwa moja(2)watumaiaji waliokamatwa ni end user na hawajui hata wanaowauzia wanautoa wapiji(3)kauli ya wema sepetu inaitaji kuchunguzwa tujue ukwer masogange vipiiiiiii
 
Yaani mange ndio ziro brain

Katushiwa clip kaona masifa kuwa source of infomation kumbe anazidi kumponza mwenzie

Na aliyemrekodi atakuwa mtu wa karibu na wema ambaye wema anamuamini ndio maana akajiachia

Inasikitisha sana pale .....mtu wa karibu na wewe ndio anakuponza
Ukikaa huko ndani ndio utajua. Másela hupiga story za kujiachia na matatizo yaliyokufikisha humo blah blah nyingi mara kupeana pole na kuhukumiana humo humo, utasikia mchizi wa pembeni yako anakuelezea inshu iliyomfikisha cell nawewe anakushawishi unamgei yako anakupa moyo kumbe pandikizi la mwana tu mnalala nae kwenye sakafu ila yeye yuko kazini
 
Analazimisha Masogange awepo pengine huyo hana ushahidi wake....

Kama mahali atatajwa huyo Masogange basi naamini atachunguzwa...

Wema anadhani hili nalo la kupata huruma kama mahusiano yake na Naseeb?....
Mhhh watanzania bado hivi na kwa masogange kunahitaji ushahid china alikamatwa kwa ajili ya kugonga gali au ? Mubashara
 
Eti msanii masogange ajatwaja kwenye risti kwa vile ni mchepuko wa mh makonda?

Eti ni kweli huyu mchepuko wako umempangia nyumba makongo juu?

Eti mh huyu demu hujawai kusikua tuhuma zake huko south afrika?

Ebu msikilize wema sepetu akimwanga upupu kwenye hii audio

# ukawa tumaini letu, hatitaji kuwaonea watu. Tunahitaji haki kwa kila mtanzania.
 

Attachments

Bila kuogopa wala kuficha maneno waliokamatwa wote ni uonez kwasababu(1) hawana ushahidi wa moja kwa moja(2)watumaiaji waliokamatwa ni end user na hawajui hata wanaowauzia wanautoa wapiji(3)kauli ya wema sepetu inaitaji kuchunguzwa tujue ukwer masogange vipiiiiiii
acha ujinga hakuna MTU anayekubari kosa
 
Masogange alishakuwa cleared na mzigo aliokamatwa nao ilikuwa ni raw materials ambayo inatumika kutengeneza dawa za binadamu, ingawa pia inaweza kutumika kutengeneza madawa ya kulevya.

NB: Kama kweli Makonda anatoka na Masogange nampa pongezi, maana ule mzigo duh!
 
wema ameeleza hali halisi.
makonda analazimisha ushahidi kwa kulazimisha sijui nani petit kwa bastola na kipigo ili amseme wema.
hii uadio haina kosa lolote zaidi ya jamii kumjuu makonda na nia yake mbovu. wema anasema wao wamehojia na kusachiwa nyumbani kwao hawajapata chochote na makonda kakasirika sana . sasa bado mnamuona makonda ana nia nzuri ?
pia wema anasema wale wazungu wa mahoteli na Dragon na mediterenian wameachiwa baada kuja makonda kuwahoji...jee mnajua maana yake nini ? hapa wema ametoa ushahidi kuwa makonda kacheza na hela...hili suala kama shisha....unapiga kibano kutoza kodi.....msikilizeni vizuri...
 
Back
Top Bottom