Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu anashitakiwa kama amekamatwa na madawa ya kulevya. Kwani Wema amekamatwa na madawa ya kulevya? Makonda hajamkamata Wema na unga! Kama ni hivyo, kwanini Wema yuko chini ya ulinzi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] akili ya wema na sauti yake anavijua mwenyewe tuMi Wema kanichekesha eti " yaani mapolisi hawatufanyii hata maninii kabisa tuko vizuri"
Na kile kisauti chake huyu demu ana akili za kushikiwa asee!
Nenda Central ukamsaidieJamani niko hoi kwa sauti ya huyu Wema.nitampataje msaada tafadhali
wacha uongo kuna mtu hajui masogange hakushikwa south africa
Ukikaa huko ndani ndio utajua. Másela hupiga story za kujiachia na matatizo yaliyokufikisha humo blah blah nyingi mara kupeana pole na kuhukumiana humo humo, utasikia mchizi wa pembeni yako anakuelezea inshu iliyomfikisha cell nawewe anakushawishi unamgei yako anakupa moyo kumbe pandikizi la mwana tu mnalala nae kwenye sakafu ila yeye yuko kaziniYaani mange ndio ziro brain
Katushiwa clip kaona masifa kuwa source of infomation kumbe anazidi kumponza mwenzie
Na aliyemrekodi atakuwa mtu wa karibu na wema ambaye wema anamuamini ndio maana akajiachia
Inasikitisha sana pale .....mtu wa karibu na wewe ndio anakuponza
Mhhh watanzania bado hivi na kwa masogange kunahitaji ushahid china alikamatwa kwa ajili ya kugonga gali au ? MubasharaAnalazimisha Masogange awepo pengine huyo hana ushahidi wake....
Kama mahali atatajwa huyo Masogange basi naamini atachunguzwa...
Wema anadhani hili nalo la kupata huruma kama mahusiano yake na Naseeb?....
Wewe ni wa serikali?Uyu wema awe makini hii ni serikali ya hapa kazi atutaki mchezo
acha ujinga hakuna MTU anayekubari kosaBila kuogopa wala kuficha maneno waliokamatwa wote ni uonez kwasababu(1) hawana ushahidi wa moja kwa moja(2)watumaiaji waliokamatwa ni end user na hawajui hata wanaowauzia wanautoa wapiji(3)kauli ya wema sepetu inaitaji kuchunguzwa tujue ukwer masogange vipiiiiiii
ago ayakuhusuWewe ni wa serikali?