Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Wema sepetu you are under arrest u have right to remain silent whatever you say will be used against you to the Court of law

Kama kwenye movie........[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wait ..so wema anamaanisha masogange anauza unga na pia mako*** anabutua mzigo

Hahahaha ngoja niskilize tena
 
Mpaka wathibitishe sauti ni ya wema....

Halafu kutukana ni miezi 6 tu jela

Kwanza wamuacheeeeeeee kama hawajapata kithibiti..... maubuyu na drama za mjini tutazipata wapi wakimweka jela????

Ila serious haki itendeke...kama anauza ashtakiwe na si kwa interest au kiki au kuuziwa zigo.... jela sio pazuri binamu
kwa stage aliyofikia wema hata vigogo wengine wataogopa kumtetea wema,maana watakua against na serikali na magufuli sio makonda in person,yani wema Kajiongezea matatizo binmu,yani mpak nimefurahi uwii,naomba mungu atakane tena
 
Watu tunajifurahisha kwa mfumo wa kiintelijensia wa taifa letu kila mmoja anafahamika anachofanya sema wanakua wameamua kukuacha tu


Mkuu, umesema ukweli kabisa yaani ," your a genius "

Serikali INA mkono mrefu na macho ang'avu sana kukamata na kuona kote sema.pana nyakati serikali hujifanya kama.vile haioni japo kila.mtu yuko mikononi mwa serikali kwa.njia moja ama.nyingine.
 
Mmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.

Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mnafiki sana wewe,, hiyo paragraph ya mwisho umeniua kabisa
 
Screenshot_20170206-125942.png
wema usijal ccm wako location wanaunda movie
 
  • Thanks
Reactions: 999
Msimshambulie Mh Makonda, ooh anakamata dagaa anaacha mapapa, eleweni hata moto unaanza na cheche, tuwe na huruma na watu wetu, vijana wenye nguvu, vipaji na uwezo mkubwa wanaangamia kwa madawa , hii issue ni kimbunga kinaweza kuondoka na vyeo vya watu, let's wait n see.
 
Analazimisha Masogange awepo pengine huyo hana ushahidi wake....

Kama mahali atatajwa huyo Masogange basi naamini atachunguzwa...

Wema anadhani hili nalo la kupata huruma kama mahusiano yake na Naseeb?....
 
Ila jamn tuache utani hizi voice clip zitamsababishia Wema matatizo zaid wao wanaona km sifa but ni kumuharibia mwenzao zaidi duh so sad kwa kweli
Iko wapi hiyo voice clip?
 
Mi nimeshangaa kweli..

Zile audio za wema hakuna rangi ataacha ona!

Halafu kuna mahali mwenzake anapokezana nae anasema Kondakta anataka "kuliwa"

Yaani Wema is foolish
 
binamu tok asubuhi sijapiga mswaki wala kuoga,macho yote insta n jf,asikwambie mtu umbea mtamu bhn,hili mama ubaya waliongezee kesi ya kumtukana muheshimiwa[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
...teh hee hee,sasa utampaje mtu m'busu wakati hujapiga mswaki.,
..kwa furaha ulionayo wallah mwezi huu lazima umfunike 'msambinungwa' ule msambwanda!
 
Mchanganuo wa video clip hii kwa nionavyo:-

1. Wema hajakanusha kwamba hahusiki na madawa yakulevya -moja kwa moja yuko guilty!.

2. Anategemea favor, influence ya mfumo kumweka huru. .

3. Anasema wazungu wameachiwa mbona wao ndio wamebaki, kwa hiyo anataka aachwe huru waendelee kama watakavyo.

4. Anataja na mateja wengine "Agness".

5. Nimegundua shule ni ufunguo wa maisha.

a) mtu gani mweye elimu yake japo kidogo angesema "tumesikia anataka uwaziri....". Huu si ujuhan sana? Kutaka uwaziri kwa mtu na kushindwa kujitetea kwa mtuhumiwa kuna husiana nini? Kwa hiyo aachwe tu aendelee kuua watu kwa sababu hakuna kiongozi anayeonyesha kujali? Uwaziri wa Makonda utakuja kwa kazi zake, lakini hakuna uzalendo wa mtu utathibitiska kwa kuwaogopa waharifu kwa sababu wana macho ya kutisha.

b). Sijawahi kufikiria mtu katila level hii, anaweza kuwa na akili za kitoto kwamba fulani mbona kaachwa? Akidhani kwamba kwa kuwa mwingine hajakamatwa kwa kuwa ni "mwanamke wa rc na kamjengea nyumba sijui kampangishia nyumba makongo", kutapelekea kumwondolea hatia ya mashitaka.

Nani washauri wa Wema? Mbona mnawamcha anaangamia huku mkiona? Mpeni maarifa na hekima basi japo kidogo. Au na wshauri wake ni wa kiwango cha ngono, kujionyesha na kugombana tu?

Pole kwa Watanzania wote!

Wema na Agness wanatofauti gani,
Hivi unafikiri Rais wangu wa Dar (RC.Makonda) angekuwa anafanya hayo angesubutu kufanya hayafanyayo au angezidi kuwa marafiki zake ili ajiakikishie usalama wa urafik wake na Agness?
Hayo maneno yatamtia katika hali ngum zaid, ila amesaidia kufanya na Agness nae awekwe kizuizin na kupata mambo mengine
Na ninafikir watu waliotajwa sio ndio hao hao list itaongezeka na hao mapapa wanaowasema wataingia tuuu.
Daima huwa namuunga mkono RC Makonda kwa kuthubutu kufanya mengi mema katika jamii yatu
Umenipa iman siku ukigombea Urais nitakuwa upande wako
 
Hivi kuna mtu anaujua ule wimbo unaimba unasema.

Weemaaa wema ******* nyokoo*** hvi nani ashawahi kuusikia huu wimbo??
 
Back
Top Bottom