Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Mtatajanaa wote hakuna jiwe litasalia this is a big show ever seen .keep mum
 
Hivi unaposema mbona flani (macho yangu) hujamtaja ina maana wote washiriki basi tutaongeza idada asante wema kwa ushirikianao wako mzr mtajitaja tu
 
Totoo ndanii mamaa ndani babaa ndanii ligi nyepesi sana kwa makonda mtu analiwa na mwizi mwizi mwizi ataacha kujua hata mwizi ni nn!
 
Hii audio itamtokea puani wema sepetu...bora angekaa kimya tu...na hapo ajajua kuwa alikuwa recorded
Akae kimya ili huyo mwignine aendelee kutuumizia watoto, ametaja kama alivyotajwa.
 
Ahsante
 
Aise mkuu kwa ule mzigo a.k.a msambinnungwa lazima utoe nyumba aisee ..aisee hii ni kasheshe kweli aisee chaaa !!
 
hii vita ni ya makada kwa makada...wacha wafu wazikane na wafu wenzao
 
nimefurahi sana maana anajiongezea kesi juu ya kesi,anamtukana mkuu wa mkoa? hajui kuwa anamtukana pia raisi,muache apumzike jela tu.
Upele umempata mwenye kucha, binamu navyokujua hapa hutoki kwenye uzi huu leo mpaka dinner utapiga humu
 
USIMFANANISHE YESU NA VITU VYA KIJINGA
 
Mmmhhh hii kweli kali yani una mwiita mkuu wa mkoa "Matako" yaani wewe Wema kesi yako ndefu sana aisee,kujua jua kumekuponza aisee. Kwa crip hii mahakamani hauchomoki hata kwa dawa mama.pole yako sana ,
Lazima tusome alama za nyakati wapendwa, hii issue ya madawa msizani ni ya makonda.
Ok yangu macho
 
Najua hii ni series imeanza mwaka huu na itafikia mwisho Miaka 8 ijayo kama JPM atakuwa hai Hivyo tusitabiri mengi ndo kwanza Episode ya 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…