Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Makonda ni mwakilishi wa raisi....alafu wema anamwita mat*ko...
Na raisi leo kazungumzia hili suala .....kuonyesha yupo sirias
 
Haki inabidi iwe kwa pande zote. Ikiwa Wema katiwa kizuizini polisi kwa tuhuma tu, ilipaswa hata Makonda aitwe ahojiwa kwani naye katuhumiwa kuwa anawalinda wauza dawa akiwemo huyo masogange. Bila hilo kufanyika vita hii itakuwa batili, kwani inaonea wasio na madaraka.
 
Anayesema Wema kajuaje kua Maso yumo hivi anaishi Tanzania ipi? Maso si alikamatwa South Afrika habari zikasambaa nchi nzima, hamna asiyelijua hili, lazima tushangae iweje mtu kama huyo ambaye hadi kukamatwa alikamatwa asiitwe alafu waitwe watu ambao hata kwenye radar hawakuwemo. Huyu creature anafukuzia uwaziri tu hamna kingine
 
Kama ni kweli bosi asimtaje kabisa manake masogange akienda haja kubwa selo na lile zigo na vle maji ya shida patanuka sanaaa
 
...Kama namuona Romy na Petman wakichunga ng'ombe na Mbuzi za Bwana Jela huku akina dada wakichota maji na ndoo zao kichwani
 
unaweza kuwa ushahidi mzuri kuwa wema ni mtumiaji ama muuzaji wa unga ila shida yake ni kwa vile tu huyu aliyepangiwa nyumba na makonda hajakamatwa, wacha waendelee nafikiri haya ni matokeo chanya kwa wema ambaye alifanya juudi kubwa kumwiingiza makonda madarakani
 
Bado anaendeleza drama Duh!! Anataka kukimbia na hana breaking what do her expect??
 
sidhani kama alijua kuwa anarekodiwa.....inawezekana alikuwa na watu wake wa karibu akajiachia kumbe wenzie wanamrekodi
Huwa wanajifanya wana mashoga aka marafiki haya ndio wamemuangushia balaa jingine hilo....."usiamini watu wa daslam" Huu msemo una maana kubwa sana hasa ukiufikiria kiuhalisia na bila unafiki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…